@evodiachambulikazi: Wanaume wengi wamepoteza familiazao kipindi wanapitia wakati mgumu kiuchumi na bado wapo wanaopitia hili na wengine watalipitia pia kwasababu jamii imeweka thamani ya mwanaume kwenye pesa

Evodia Westoni Chambulikazi
Evodia Westoni Chambulikazi
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 06 August 2026 12:21:06 GMT
32579
1343
81
148

Music

Download

Comments

user9962913031591
rhio sig phiri :
madam you're the best motivation speaker for our generation, thanks
2026-08-06 14:15:42
4
sheikhmusamuhamma3
Sheikh Musa Muhammad Nabumbaya :
my wife left me because I was poor but right she wants to come back coz I have moved on with someone who endured...
2026-08-06 19:41:17
0
mwenda.craft
mwenda craft :
very true
2026-08-06 19:50:15
0
user1615231944481
frank :
all the best
2026-08-06 17:40:59
0
baraka.mshana4
baraka Mshana :
kwel mm aliondok akidhan nisingeinuk tena na kutaka tuvunje ndoa na baadae nikapat mke mwema sas anajuta
2026-08-07 05:27:07
2
mr.i.t3
MR I.T :
nilivyo jipata tyu nikamuacha mwanamke wangu coz nilipokuwa sina alinisimanga balaa
2026-08-07 06:04:17
1
mbutowambuto
mbutowambuto :
Kweli kunawanawake Kweli diniani wewe mama uko Malaika kabisa
2026-08-07 04:39:24
1
willy.mwaitege
willy mwaitege :
🥰🥰🥰surely
2026-08-06 12:24:38
0
user5598201232153
Ibra :
nikweli kabisa dada hata Mimi hapa hayo ymenikuta kunakipindi nilipitia maisha magumu mwanamke akakimbia ila kwasasa mungu amenisaidia mambo mazuri yeye yupo huko Hana kitu
2026-08-07 05:01:15
1
user8019072802295
magadula :
ubarikiwe Binti dada yetu
2026-08-07 03:41:05
1
izigiheprosper
IZIGIHE Prosper :
Asante sana ubarikiwe
2026-08-07 02:25:10
1
evodiachambulikazi
Evodia Westoni Chambulikazi :
Video nzima ipo youtube
2026-08-06 12:29:10
3
user4327585803745
Obegiu Ramathan :
dada asanti sana mungu aku jaliye sana katika wanawake wote una luha nzuri sana
2026-08-06 17:19:46
2
aneth6588
ANETH WISTON :
sina ham mm na wanaume nimemtuza maiaka mitatu han kazi nikamtafutia kazi alivyopata hukohuko kazin akakutana na mdada akawa nae leo anaomba msamaha
2026-08-07 04:54:52
1
agnes_26tng
agnes_26tng :
kweli sahihi.kumbuka ulihangaika nae kwa shida, namkafanikiwa watoto 5 .malipo fanikiwa yeye anaondoka na Mali zote kwa mchepuko Mali imeisha huko ndiyo alundi nyumbani.hapo ndyo maana wanateswa
2026-08-06 13:01:36
2
kiluabernado
Kilua Bernado :
We Dada ungetakiwa uwe mshauri wa ndo Duniani, You real deserve it.
2026-08-06 13:43:54
2
hassankommbo
Hassan Gk 2003 :
Nakufatilia Sana ewe dada angu
2026-08-06 13:33:13
3
alimasha962
Ali Masha :
kweli kabsa wana wake hawana uvumilivu
2026-08-06 15:05:09
2
stevemukuni1
Steve :
🔥🔥🔥 mwanaume... ukiona izi signs tupa yy na usiregret
2026-08-07 02:36:07
1
user4502715474908
user4502715474908 :
mtumshi wa mungu nkwali unatufundisha sana mtoto wa mungu ubarikiwe sana 🙏 dada naomba mungu akusadie afungue milango yako jmn
2026-08-06 14:27:24
2
abdulsaidhamisi
Abdul Said Hamisi :
Hii Mimi ndio inaeleza kunihusu yale ninayoyapitia,Huyu Dada Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
2026-08-07 06:24:52
0
augustinethotho
Augustine Thotho :
💯 percent ukweli mtupu
2026-08-07 06:11:49
0
www.mystry.com
mystery :
my wife left me with my 2 children in 2017 after loosing or collapsing of nakumatt...sijai oa tena
2026-08-07 06:05:40
0
jay261626
Jay :
hiyo ni ukweli kabisa
2026-08-07 06:03:35
0
user1615231944481
frank :
thanks
2026-08-06 17:36:59
0
To see more videos from user @evodiachambulikazi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About