Can some one translate for me i understand some of it tho
2026-08-25 05:04:33
0
Madam-teacher ❤️ :
Bibi kama ni ya ndani je
2026-08-07 05:46:05
1
shose :
bibi naomba dawa ya kujamba kila mara
2026-08-10 07:25:11
1
JOY 254 :
ASANTE
2026-08-12 16:01:49
1
maryam omary :
bibi me nataka dawa ya hisia nikiwa na mwanaume 😩
2026-08-09 08:15:16
2
Ismail umario Ismail :
asente mama
2026-08-06 15:49:51
1
charlotte :
asante bibi
2026-08-06 16:25:47
1
Adellaide :
Bibi maumivu ya jino naomba kujua 🙏
2026-08-08 23:43:02
0
zenaalmasi545 :
asant
2026-08-08 19:10:21
1
MAMY :
ahaaa sw asnt san bibi man mm nikienda haja kubwa naumia mpk nashindwa kukaa kitako
2026-08-13 05:28:26
2
Ndanzi Daughter♥️ :
Asant bibi☺️
2026-08-06 20:07:06
1
Edith Nzilani :
Mshubiri ni nini alf unakalia ama
2026-08-08 03:48:10
1
lameck :
na strech marks
2026-08-06 15:17:01
1
The Shosh🌿 :
Bawasili (hemorrhoids) ni mishipa ya damu inayovimba kwenye sehemu ya haja kubwa. Huleta maumivu, kuwashwa au damu kidogo wakati wa kujisaidia.
Jinsi ya kusaidia/kutumia tiba za nyumbani:
Kunywa maji mengi kila siku.
Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi (mboga, matunda, nafaka) ili choo kiwe laini.
Epuka kukaa chooni muda mrefu au kujikaza sana.
Kaa kwenye maji ya uvuguvugu (sitz bath) dakika 10–15 mara 2 kwa siku.
Unaweza kutumia mafuta ya asili kama aloe vera au mafuta ya nazi kupunguza muwasho (nje tu).
Kama maumivu ni makali au kuna damu nyingi, ni vizuri kumuona daktari mapema.
2026-08-06 15:11:30
2
B"I"G"D"A"D"Y"✅ :
inamana mtu atatoka damu nyingi akitumia hiyo dawa
2026-08-27 11:09:02
0
To see more videos from user @shoshhack1, please go to the Tikwm
homepage.