@salym_kikeke: Rais Yoweri Museveni amewasili Tanzania kwa ziara ya siku mbili. Hii ni ziara ya pili ya Rais wa Uganda nchini Tanzania ndani ya mwaka huu wa 2026. Lakini Je, Yoweri Museveni ni nani hasa. Huu ni muhtasari wa safari yake ya kisiasa.
watu wengi Wana Amina akiondoka madarakani itakuwa ni Mlango mpya wa Maendelea kutoka walipo kwenda juu zaidi. Ila mm nazani itakuwa kama SIR. ALEX kuondoka UNITED
2026-08-06 17:06:02
1
kapesa :
kaka uko vizuri sana 👍💯
2026-08-07 09:11:13
0
chosen one :
Ndio maana anaipenda Tanzania baada ya Uganda 🇺🇬
2026-08-07 04:10:16
0
Michael kayoka :
mwamba hufai katka habari yaaani nakukubari sana
2026-08-07 03:40:12
0
Furaha Jonas :
saf
2026-08-06 19:53:13
0
msofeViatu 👞 :
Africa imekuwa ya wachache sana 🚮
2026-08-07 05:40:13
0
Eduardo santos :
dictator huyo
2026-08-07 03:12:28
1
wisperfect :
watafia madarakani hao pamoja na kagame😂😂😂
2026-08-07 09:45:18
0
To see more videos from user @salym_kikeke, please go to the Tikwm
homepage.