@lisma.waziri: Wafanyabiashara wengi hawapotezi pesa kwa sababu ya ushindani. Wanapoteza pesa kwa sababu ya kuajiri na kuwabakiza watu wasio sahihi. Tatizo ni kwamba mara nyingi tunachanganya skill na character. Mfanyakazi mwenye skill kubwa lakini tabia mbaya anaweza kuharibu culture ya timu nzima. Na mfanyakazi mwenye skill ndogo lakini character nzuri anaweza kuwa kiongozi wako bora baada ya muda. Ukiwa na mfumo wa kutathmini watu, maamuzi yanakuwa rahisi na hayategemei hasira, huruma, au pressure ya siku. Swali: Kwenye biashara yako, ni kipi ni kigumu zaidi? A. Kuajiri watu sahihi. B. Kuwabakiza watu sahihi. Andika A au B kwenye comments. ##beautybusiness #beautybusinessowner #womeninbusiness