@livestockconnecttz: Huyu si mgonjwa wala hajavunjika mabawa. Ni aina ya kuku wa ornamental ambaye mara nyingi hujinyoosha, hujivunia mkao wake na kupiga mabawa kwa mtindo wa kipekee. Ndiyo maana wafugaji wengi humfuga kwa uzuri wake kuliko uzalishaji wa mayai au nyama. 📌 Je, umewahi kuona kuku wa aina hii kabla? Follow Livestock Connect TZ kwa elimu zaidi ya mifugo na kuku.#LivestockConnectTZ #Chicken #OrnamentalChicken #Serama #Bantam