Kuna muda unaweza mchukia mtu ukasahau kuwa anaigiza tu😂😂😂
2026-08-19 12:43:27
16
bb chou 💞 :
tubwana twenye atuna pesa tunakaraha sana 🤣🤣🤣🤣
2026-08-14 23:34:13
7
Sharon :
Wueh!! shida hii
2026-08-14 19:49:47
1
fatma :
kama ndoa yenyewe ipo ivi mi nimegaili😂😂😂
2026-08-14 19:27:13
6
Kelly issa :
jamani iyo nikweli mimi mwanaumewangu wa kwanza alikua anaesabu vipande nyama yani kunasiku alikuja dada angu nikamuekea vipande vi3 va nyama nilipigwa daa nimekumbuka mbali sana
2026-08-09 15:27:12
10
wellsome manje :
Baba atu namba mbili
2026-08-06 20:23:51
6
Miss Boss 💝 ❤️ 💖 :
unatafuta comment gan mwenetu nashindwa kuelewa 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-09 11:11:17
8
Drama girl :
kama ni ndoa bola niwe singo tuu
2026-08-14 10:28:09
2
VANESSA :
kama ndoa zenyewe ndy ivi bc
2026-08-20 11:45:23
1
Asia Adam Lumalizya :
😂😂😂 jmn we mwanaume unagubu😁😁😁
2026-08-06 19:21:34
6
Mariam Husein :
ovooo
2026-08-07 09:47:05
1
ياسمين ☪️ 🎀 :
2026-08-07 11:29:59
2
Hawa Ramadhan :
Duuu 😂😂😂😂
2026-08-07 11:05:36
1
sheymaa 4real :
sasa asionje
2026-08-15 16:32:28
1
Mrs_dully og01⚡💫 :
naacha😁😁😁
2026-08-09 15:24:00
2
saleh issa :
nakubari mwamba
2026-08-14 19:58:37
1
Neema Selemani :
hat kam kuigiz ila siyo kam ivyo asip onjah atajuaje kam chumv imo au hakun