nephilim offspring don't have a soul..only spirit.mso wakikufa hawaezi enda binguni coz they don't poses a soul..hao ndio huwa jini wakifa
2026-08-08 21:57:15
1
kiddo mau :
nliacha jini zikiwa 25k
2026-08-07 13:15:12
58
Ivyne :
I have laughed 😂😂 even before listening
2026-08-07 11:40:02
75
John n :
nataka ya kike yenye ni single
2026-08-07 14:08:25
94
Boffat :
Kuna watu wanaamini hizi story😂😂
2026-08-07 18:28:24
23
Mr. Wanga (Snr.)🇰🇪 :
Nmenunua yangu 37k. au niliibiwa wakuu?
2026-08-07 15:11:16
30
ALHAJJI 🐫🐫yusuf :
kuna ile iko na rasta??
2026-08-07 08:08:54
21
Natasha Mo :
wakenya hakuna kitu hamjafanya yaani mwajua hadi bei ya majini 😳😳😳
2026-08-07 18:46:54
18
mgy :
sahizi zimepanda ni 42k ,ukibagain tutapata na 36
2026-08-07 15:23:39
6
lalas lala :
ile msoto iko kenya ata njini zinasema hakuna pesa
2026-08-07 17:34:37
18
Shillah da Chosen :
ya Lamborghini, na account figure name n how much
2026-08-07 17:14:00
1
GRADUATION GOWNS-THE SAINTS :
Approximately ksh5000
Standard rate 😂
Usiulize nilijulia wapi
2026-08-07 06:17:27
6
Njeru Runji :
Kuna ya 2019 new model, KDW?
2026-08-07 13:49:07
5
Sir Nick :
kuna ingine nilinunua ndani ya wiki mbili tenants wakawa wanalalamika kuwa wanaona miujiza kwa plot
2026-08-07 18:02:26
8
official reen💫🦋 :
propagadaaaa😅😅😅😅jinni unapewa moja katika familia za jinni ziko Aina tano Tu...na makata ni jinni la kiume upewa mwanamke Tu masharti Yake ni usioe wala usilale na mwanaume yeyote.makata utokea usiku saa sita .jinsi ya kumuita lazima uvae viazi nyekundu na uwashe udi.jinni maimuna ndie jinni Yule tajiri kabsaa na mrembo.zaidi kwa familia za jinni....*ili kufunga jinni lazima uwe msafi na mwenye Siri*hakuna jinni uishi kwenye yai labda dangu
2026-08-08 16:55:45
5
marymwenie 🇦🇪🇸🇦🇰🇪 :
kuna mtu anaamini here waganga ndio legitimate
2026-08-08 06:02:42
6
Alego :
kwani zilitoka 10k lini😂😂😂
2026-08-07 16:35:27
7
Mose254 :
Nikipata Yai 🥚 imezikwa kwa nappier grass yangu? Was shocked 😳
2026-08-07 08:24:50
7
Son of a Farmer 🇹🇿 🇰🇪 :
nilinunua 105k ila alikuwa mvivu kazi kulala tu nikimtuma pesa anasema achoka😂
2026-08-08 05:48:15
5
Abese :
unanunua kitu alaf kinaitisha damu za watu
2026-08-07 08:26:10
6
waridi :
but si lazima ununue jini, you can invoke then to come by yourself.
2026-08-07 10:34:18
4
Mercy kerubo :
we live once si mnipee moja wakuu😏😂
2026-08-07 22:17:42
1
bnx :
bag ya nini?
2026-08-07 12:07:29
2
Bella💫🇺🇲 :
hebu mnifungie jini ya 2k 😅 haki nyinyi watu 😂😂
2026-08-08 13:02:53
4
To see more videos from user @mueke_ke1, please go to the Tikwm
homepage.