ni lugha Allah aliyotuchagulia sisi kwa ajili ya mawasikiano yetu katika sala tunamuomba kwa lugha moja
2026-08-07 14:08:35
1
👑 𝒅𝒂𝒊𝒍𝒚 𝒒𝒖𝒓𝒂𝒏 🤍👑 :
You're applying a double standard. The Torah was revealed in Hebrew, and Jesus spoke Aramaic, not English. Yet today millions read the Bible in English and accept it as a translation of God's message. So why complain that the Qur'an is in Arabic? Every revelation came in the language of its first audience. The Qur'an itself says: "We did not send any messenger except in the language of his people, so that he might make the message clear to them." (Qur'an 14:4). The issue isn't the language—it's whether the message is understood faithfully. If you accept translations of the Bible, you cannot reject the Qur'an simply because it was revealed in Arabic. That's a double standard.
2026-08-07 13:14:52
0
Rukia Kazungu :
warabu ndio watuwenye elimu kushinda watu wote duniani
2026-08-07 15:01:47
1
mohdkhubran :
ALLAH muumba wa kila kitu mpaka lugha zote kaziumba yeye na tumia lugha yoyote unayoijua kumuomba au kusali lakini ni bora Kwa kiarabu kama hujui NI ubora ujifunze haswa SURATUL FATIHA inatosha na utaingia Kwa ufalme wake
2026-08-07 07:07:47
2
sir kichaura :
je God ni mzungu?
2026-08-07 10:22:51
1
J4 the super brand :
Allah alishusha manabii na mitume katika mataifa tofaut yenye lugha tofaut mfano ISSA au Yesu. yeye Yesu aliletewa injili katika lugha ya kiebrania na ndio lugha uliyo tumika katika swalla kwa watu wote mfano wakiristo wanatakiwa watumie kiebrania hata waislamu kabra ya Muhammad walitumia kiebrania kuswali au kuabudu.
2026-08-07 15:39:12
3
ozmail :
Our sheik( DR SULE )will give you a good answer....
2026-08-08 20:48:41
0
Imranzy Imuu :
ndio maana dini ya kislamu haiwezi potea kila kitu ikon kwa original context....injili ime badilishwa kwa lugha mingi hadi imepoteza maana na kupoteza wafuwasi
MTUME (SAW) Alisema"SWALLU KAMA RAAYTUMUNI USWALLY".hapo wanaambiwa maswahaba mpaka kufika kwetu,waswali kama walivomuona mtume akiswali,yaani sala visomo vyake kwa kiarabu,na mtume alifundishwa quran kwa lugha ya kiarabu,na akafundisha dini kwa lugha ya kiarabu.Katika Dua yoyote unaomba kwa lugha unayoijua baada ya swala,ila ikifika swala unaswali kwa lugha ya kiarabu,hebu nikuulize swali,makabila mangapi yako nchini na mbona wimbo wa taifa inatumika kwa lugha ya kiswahili,?
2026-08-08 00:19:00
2
AHALI SUNNA :
allah sio kama hajui luga zote allah anajuwa luga zote isipo kuwa uslamu ni dini ya ulimwengu na kila jambo lina utaratibu wake utaratibu wa swala ndio huo na ndio maana tumeambiwa tusome na kama allah angali ruhusu kala kabila waswali kwa luga yao kwenge kuwa na shida mm nikienda china sijui kichina nitajuwaje kuwa hapa watu wanaitwa kwenda kuswali lakini kutokana luga ya swala ni moja hata nikienda china pakiaziniwa nitajuwa huu ni muda wa swala watakimu atapita mchina kuswalisha na mm nitamfata tutamaliza swala pamoja akitoka nje tumeachana hiyo ndio sababu ya swala kuwa kwa luga ya kiarabu
2026-08-07 11:01:21
0
user4186177245948 :
imewekwa kwa luga moja ili tupate kuelewana mda wa swala ingekua kwa luga tofauti tusinge elewana kama wewe ni mswahili na unaongea kiswahi usinge elewa swala ikiswaliwa kichina hivohivo kwa mzungu muhimdi kwenye swala tunatumia luga moja lakini kwenye dua waomba kwa luga yako kumbuka swala na dua ni vitu viwili tofauti
2026-08-08 05:58:12
0
Jei @k k :
Swali nzuri
2026-08-07 07:14:59
1
Frank Double7 :
mwarabu ndy
2026-08-07 05:45:16
1
nassorhaji935 :
Mimi mnanishangaza sana sababu tumesoma shule na tumesomesha sayansi na waalimu waswahili lakini lugha iliyotumika ni kiingereza na mtihani ukija hata kama jibu ni sahihi ukijibu kwa kiswahili imekula kwako, umewahi kujiuliza hilo
2026-08-07 14:13:00
1
joseph :
niko nyuma yako, ila hawaya jibu 🥰🥰🥰
2026-08-07 19:52:48
2
Salimu :
mungu huabudiwa kwa kila mahali na kila lugu atakusikia
2026-08-07 05:51:13
3
Sina Jina :
kwni mitume waliotangulia wlikuwa wakiabudu katika ibada zao wlikuwa wakitumia lugha gani?
2026-08-07 04:09:16
1
jeanpierreshindan :
assani ubarikiwe saaana
2026-08-08 06:42:40
1
neema hoza :
una kheri wew uliye okoka.. umechaguwa..njia iliyo njema sana..
2026-08-07 11:57:12
2
Prosper John :
Mungun akubariki sana Mtumishi wake
2026-08-07 05:51:05
1
Chloe :
pongezi broo niko nyumayako
2026-08-07 04:03:07
3
To see more videos from user @injilimoto, please go to the Tikwm
homepage.