picha ya mtaa mmoja wtf[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-16 04:30:43
1
Kingstone :
population factor
2026-09-15 14:35:05
0
Kandonga_pris :
population
2026-09-16 16:09:17
0
Princess Engfa32๐ฅฐ๐ โค๏ธ :
kwasababu Moshi ni wilaya tu๐na mbeya ni mkoa๐ so mkoa ukawa Jiji na wilaya ikabaki wilaya tu๐คฃ๐คฃ
2026-09-15 06:36:05
11
.....@ disciple_RM@..... :
hiyo moshi imejengwa ivo tangu mwaka gan na mbeya iliitwa jiji kuanzia mwaka gani..... mbeya n jiji lilodumaa...
2026-09-13 17:40:08
11
โCandy๐ฌ๐ญ :
kwasababu Moshi kuna Wachaga mbeya kuna wanyakyusa
2026-09-15 00:15:32
5
kulanga :
kumbe mwanetu unaangalia magorofa ndio unajua ndo ilikuwa hadhi ya kuitwa jiji hawaangalii majengo hayo๐ mapato ya pale mbeya ogopa harafu inaza inazalissha karibu Kia kitu pale kwa chakula ko mapato ni makubwa plus biashara yaani hamuwezi kufikia hata robo ya mbeya