Mimi inategemeana na tumeamkaje kama tulilala tumenuniana Kila mtu anatoka kimyakimya hakuna anaemuuliza mwenzake .😂
2026-08-07 15:26:02
2
Masfar :
sio mfumo dume, mume ndio kiongozi wa mke kwenye ndoa
2026-08-07 10:34:05
11
sir. :
kweli hakuna baba wawili kwenye familia, mwanaume ana aga, mwanamke anaomba ruhusa, kuna kukataliwa na kuna kukubaliwa, ila mwanaume anapotoa taarifa haombi ruhusa na mwanamke hafai kukataa moja kwa moja hata kama anajua anapo enda sio pazuri basi yafaa amshauri mmewe amwoneshe madhara ya anako kwenda ila sio kumzuia maana sio adabu
2026-08-07 08:45:35
12
🦋De Winner🦋 :
Mwanaume kuaga sio vibaya jaman sema sisi Tunaomba ruhusa ya kutoka labda kwenda wapi ila mwanaume ukiaga hata kwa kusema natoka kidogo kunashida😳😳
2026-08-07 18:35:29
1
SAUTI YA MAWINGUNI :
mwanamke anapotoa kutafuta anatafuta kwaajili yake binafsi lakini mwanaume akitoka hutoka kwaajili ya familia yake akiwemo mke
2026-08-07 09:10:02
4
dotto cery :
si sawa ukisema pesa ya mwanamke haipat kwa jasho ni uwongo huo ni mfumo dume kinachotakiwa kil mmoja awajibike kwny nafas yke kingine kumuag mwanamke si kwamba ndo ujinga hapn bali kuna mambo meng dunian umepat matatiz mkeo anajuaje
2026-08-07 08:49:13
3
Richard Yonah :
ndio maana wanaolewa
2026-08-07 15:33:46
0
user41462886561463 :
kuna kuaga na kuomba ruhusa
2026-08-07 15:11:35
2
victorbucha6 :
NDOA ndio taasisi kubwa kuliko taasisi zote duniani maana ndio taasisi peke inayosimamiwa na MUNGU.
2026-08-07 15:41:14
0
Maitham Khamis :
huo ni mfumo wa mungu kaweka
2026-08-07 15:07:43
0
kalamba Jr :
ngoja waje sasa😁😁
2026-08-07 10:58:06
0
Francis Mbena :
kwanza unapo mtoa mtu kwao akaja kwako ww tayari Usha kuwa mlinzi wake kwasabu kitakacho mpata popote lazima uwe wa kwanza kuwajibika
2026-08-07 10:13:14
2
user6032120194803 :
Si sawa, usiyopenda kufanyiwa Wewe na mwenzako mfanyie hayohayo
2026-08-07 08:03:54
3
EZE KIHEGULO :
neno hili tumekubaliana wanaume wote wenye akili tena akili timamu
2026-08-07 09:43:25
1
😎Last king🤴 :
Mumee anatoa tu taarifa na sio kuaga na mwanme ndio kiongozi
2026-08-07 18:36:54
0
Mathayo Augustino :
ata so kuaga mwanamk haagi anaomba ruhusa
2026-08-07 17:01:27
0
xavierponera :
kama unaolewa utaaga
2026-08-07 18:27:22
0
mosaic :
mfano una gari mbili, gari moja ni ndogo mibovu mbovu na kuna gari jengine ni la thamani sana na ni zuri kwelikweli, wewe mmiliki umepata hela ya kununua GPS ya gari, ni gari lipo utafunga GPS hiyo? Jibu utakalopata ndio litaamua kati ya Mke(gari zuri) na Mume(gari bovu) nani anatakiwa ajuulikane yuko wapi na anafanya nini (kuaga)
2026-08-07 17:11:43
0
Said Khamis :
mtangazah vip tukuchunguze au
2026-08-07 17:52:28
0
nchimani4 :
anakuhoji ameoa kwanz maan haya maswali anatakiw akuhoji mwanamke
2026-08-07 18:36:01
0
David Myalle :
Hata kama ni Mfuko Dume, ndo unaotakiwa, Hatutaki Mfuko jike
2026-08-07 10:37:11
0
user9433973461685 :
ukiwa kwa mchepuko ndiyo munawaaga unarudi kwa mkeo mh kwnini isimuage unako kwenda
2026-08-07 18:59:15
0
To see more videos from user @sdp_updates, please go to the Tikwm
homepage.