@mubba86: Mtaalamu wa wanyama pori anasema ikitokea katika haraka za hapa na pale umekutana na simba usikimbie bali simama na umuangalie machoni. Mtaalamu uyo anasema kwa wanyama kama simba ukiwaangalia machoni uwa wanaona aibu na kukimbia ila ukimgeuzia kisogo atashangaa kwamba ni mnyama gani huyu ivo atakushambulia.#eastafricatv #tanzaniantiktok🇹🇿 #kitengeupdates #timuyawananchi #timuyawananchi