@buza_media: JAMAL APRIL AKIELEZEA KUHUSU UHALALI NA UHARAMU WA NGURUWE KUPITIA KIPINDI CHAKE CHA THE STORY BOOK #buza_media #entertainment #tiktoktanzania🇹🇿 #trends
tupo duniani kujalibiwa na kuna majalibu mengi tu apa duniani naatakae weza kuishinda tamaa yake na majalibu yote na kushika maamrisho huyo ndiye alie fuzu kwa mola wake mlezi
2026-08-09 17:30:06
13
Pool of Faith :
Kama mtume kaslikisha majini basi yesu kahararisha nguruwe aliposema kikuingiacho mtu sio najisi bali kimtokacho… na hii ni kweli chakula anachokula mtu na kwenda choon chawezaje kumtua unajisi wakati najisi hutiwa roho na sio mwili….
2026-08-21 05:50:56
4
Suleyman :
hata mfereji wa hormz tuliambiwa unapitisha mafuta asilimia 25% leo hii ukweli unapitisha zaid ya asilimia 85% kwaio na hizi asilimia za ulaji wa nguruwe sio kweli
2026-08-09 07:41:52
14
Medass tz :
mdudu halam
2026-08-09 10:18:17
4
6969GP :
hata mimi uwa nakula kwa dharura ya njaa
2026-08-20 06:56:25
4
YAMUFA_17 :
nyamafu ndo nini
2026-08-09 16:43:43
0
Manuel :
Mimi na mdudu
2026-08-09 08:41:09
0
🌼𝖘𝖙𝖆𝖗🌼 :
Mtam huyo hatar🥰🥰
2026-08-09 14:03:54
0
romyjoh_ :
wasabato je ??
2026-08-09 22:02:39
0
SHOOKAL BOY :
alhamdulilih I'm Muslim
2026-08-10 04:26:07
2
Mr. pin :
kweli kabisa
2026-08-09 15:47:08
0
K- Tiiy💕girl Ambition 🦋🦋 :
Kwahiyo agano jipya linaruhusu kula chochote kwahiyo ukiingia kwenye nyumba ya mtu ukipewa nyama ya mtu ule 🥺sielewi
2026-08-22 17:18:43
0
jay :
ladha yake ipoje
2026-08-19 19:24:31
3
jumajafari219 :
nilikuw nakufatia na kulike video Zak sema Leo ngoj nipt
2026-08-22 06:18:00
0
🫦👻Ms Glorious🌸🫧 :
Bwana mtajua wenyewe😂
2026-08-21 17:10:21
4
mchicha :
anashida tuachie my wetu
2026-08-09 20:33:54
1
Tindwa @2005 :
paul anawapotosha sana wakuu huyu jamaaa 2mfuatilie
2026-08-20 04:14:43
2
Neyson :
unasemaaa mmh
2026-08-21 15:30:16
1
Lomynana🦋🦋💕 :
We siachi semeni muwezavyo ndo nakula zangu ivi na ndizi mbili
2026-08-21 16:52:41
1
fransisconkuyumba :
usikihukumu usichokiumba
2026-08-22 11:55:39
1
Captain Gg :
ndo nmetoka kula saiv wakuu
2026-08-09 18:43:05
1
To see more videos from user @buza_media, please go to the Tikwm
homepage.