@cawabemedia_: Usalama Umehakikishwa kwa Simba Day na Yanga Day! Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema Jeshi la Polisi litahakikisha linatimiza wajibu wake kikamilifu ili matamasha ya Simba Day na Yanga Day yafanyike kwa amani na usalama. Mashabiki wote wametakiwa kuzingatia sheria, taratibu na kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha matukio hayo yanamalizika salama. #SimbaDay #YangaDay #Usalama #JeshiLaPolisi #DarEsSalaam #TanzaniaFootball

cawabemedia
cawabemedia
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 07 August 2026 14:27:16 GMT
11658
323
7
7

Music

Download

Comments

pauloissa4
Paulo Issa :
amani itawale kuanzia leo na siku zote zinazofuata tucheze kwa amani tufurahie kwa upendo tuache vurugu na viongozi wetu wa nchi akiwepo mh chalamila ambaye ndio mwenyekiti w aamani mkoa wa dsm naamini watatekeleza majukumu yao ipasavyo
2026-08-07 14:44:53
0
user2436268351272
Karagwe finest tz, :
Asante mkuu tumepokea taarifa
2026-08-07 16:24:21
0
user9877370043219
angano jipya ukweli yesu yupo :
mkuu wana kumega eeeh☺️
2026-08-07 17:34:47
0
abuhanifa.mussa5
Abuhanifa Mussa :
Aman itawale Tanzania yetu kote
2026-08-07 17:24:27
0
malulusylvester
Kalamu Family :
Amen
2026-08-07 17:49:20
0
nila55748
lady 🌸🦋🥰 :
💛💛💛💛💛💛💛💛
2026-08-07 18:55:37
0
To see more videos from user @cawabemedia_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About