@princess.angel894:

Angel store
Angel store
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 07 August 2026 15:57:45 GMT
45730
1299
194
253

Music

Download

Comments

jamilaramadhan1
jamilaramadhan1 :
dah kam ijakukuta uwezi Muelewa uyu dada 🥰
2026-08-08 16:58:48
22
sophie.mtitu
Lubote🦋 :
Tutaonekana tuna roho mbaya kila mtu akae na mama yake tu😂
2026-08-10 05:08:40
13
majeed.ally0
SAMIRA❤️ :
yalinikuta miye kuitwa mchawiiiii
2026-08-09 10:24:03
6
parvy_124
parvy_124 :
utasikia muache mkeo umuoe mama angu
2026-08-09 06:59:02
3
rehemahamad132
rehemahamad132 :
kama nimekutuma uongee hili dada sina la kusema kama nipige kelele
2026-08-15 05:22:18
2
jacqie019
user4617039807384 :
jamani Mimi nao wawili wa mwanaume walilelewa na bibi Yao na shangazi Yao, yaan dada kama ulikuwepo ni mitihani mkubwa na nilishaendaga ukweni kitoto kimoja Cha kike kikanambia we sio mamaangu, na kina kiburi Hadi Leo hakinisalimii nilikua nao kuanzia yupo drs la nne now yupo la 7 Yan ananipandisha ananishusha hata salamu hanisalimii,, Yani ni mtihani
2026-08-08 08:39:07
1
shamsajoseph450
Shamsa mnzava🥰💞 :
hiyo nikweli kabisa mm yalinikuta
2026-08-09 05:10:02
1
sadambegu6
Sada Mbegu❤️💼✍️ :
kwa kweli hata me siwezi
2026-08-20 03:19:36
0
user58018261969
mrs panga :
Nikweli kipenzi changu mama akiwepo ni kazi sana,
2026-08-10 07:52:45
1
user1612254678532
Zai me :
we una uhakika wako wamekamilika acha kujimaliza MUNGU c wako
2026-08-11 13:52:05
0
rahmaommy0
rahmaommy0 :
mimi mtoto anafanya mambo unamwambia baba ake anasema unamnyanyasa au anasema huyo si kalelewa na bb ake kwahyo hawez juwa na tabia unazotaka. au mtoto anakujibu eeh mama angu ninae atanifanyia kila tu
2026-08-09 05:21:01
3
user223498238606
user223498238606 :
sitaki hata kuwasikia nimepira huko
2026-08-08 13:23:26
1
happyness.francis46
Happyness Francis :
kulea mtoto wa kumkuta tu yataka moyo jamna tuseme tu ukwel mimi wala siwezi
2026-08-09 12:41:58
1
user6870472363323
Rayswa :
Fanya kila kitu ela mtoto wa mutu sumuuu
2026-08-14 08:42:06
0
joyce79383
joyce :
apana mtoto alikuwa ananifanyia visa yule yan anachukua buku kila siku ukimwambia baba ake et anakuja kumwambia mwanae achana nae ntamtimua uyu anakuja mtoto ananiambia ai niliondoka mapemq sanaa
2026-08-12 16:01:58
0
irenemuro767
Irene_murro77 :
yalinikuta Kila nifacho kibaya
2026-08-09 11:53:02
0
munirahabdallah31
munirahabdallah31 :
Yaani hili limetukuta wengi sana jamn mie ndio sina hamu
2026-08-09 15:24:28
0
aminamahiza0
Minah🌸 :
Nalea watoto wa mume wakienda kwa mama yao wananitukana wakirudi naambiwa usihoji
2026-08-09 12:16:31
0
herenagama
Hellen :
Mi nimeletewa mtoto wamiaka 5 namlea ila marufuku kwenda kokote sasa ana miaka 11
2026-08-08 13:36:04
1
user69393763052356
Bitegeko :
una akili Sana mdogo wng
2026-08-09 09:26:58
0
frolida_001
FROLIDA KISAI :
hata hao waliofiwa na mama yao ni changamoto pia
2026-08-08 12:23:46
0
user8285445324977
Sophiya Agustino :
ahaaaaa watanoooooooo
2026-08-08 05:58:53
0
merinajulius461
Merina Julius :
sisi wenyewe hatutaki kuacha watoto na mama wakambo kamwe ila nihali tu Huwa zinajitokeza,
2026-08-08 13:49:08
1
babythreevoice
Babythreevoice :
aziza nkupenda ntmn nikufute ulikua dadaangu kipnd nasom chuo
2026-08-09 10:14:57
0
priscalugenge777
MAMA D :
sitaki kukumbuka jmn hao ndugu za mume kuwarisha sumu watoto mmm..h
2026-08-08 23:26:46
1
To see more videos from user @princess.angel894, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About