mimi niko tanga mjini nimeomba hati miaka 3 hati sjapata napgwa dana dana
2026-08-08 08:01:37
1
Shoboto modi Tanga :
babu eeee sisi huku tunakosa na hakuna jipyaa loloty
2026-08-08 06:30:10
1
Mom JB :
Morogoro tunapatia wapi??
2026-08-08 06:44:52
2
queen :
Naomba namba za waziri wa ardhi Ila kuna gharama wanasema eti
2026-08-08 06:53:02
1
shafanat11 :
waziri kuna sehem nyingine tuna wiki ya 3 sasa hatujapata hati .vigezo vyote vimekidhi
2026-08-08 04:24:42
1
Ahmedyramaar :
wizara ardhi mukatoe elim huko nje acheni kukaa oficn tu wananchi wengi hawaelew masuala ya ardhi ikiwemo hta hao wenye viti wa mtaa na watendaj wao wanachojua ni kupokea 10%tu
2026-08-08 05:34:10
1
Juma Msati :
Sawa kabisa na waache kuchukua viwanja tukichelewa kujenga
2026-08-08 04:56:23
0
king Bilal :
mmhhh
2026-08-08 07:50:39
0
Amina shabani :
tunafatilia mpaka unaacha
2026-08-08 08:04:13
0
Phatreyz Humphreyz :
Kweli wanatupiga chenga sana na dharau kamadodoma ushirikiano na wavamizi wa maeneo kwenda saiti laki moja 😂😂😂 ofisini watu hawapo kila siku unakasirikaaaaaa afu unasema embu ngoja nisubiri nione alafu auoni kitu ela unapata unaila ukisubiri ofisi ya ardhi yanii😂😂 sema tu sina hasira ila dodoma ardhi ngumu sio kuipata ila watumishi wanataka washibe kwanza …soma mara 3utanielewa aaaah tutashindwa sasa tunawaangalia tu ardhi unaenda miaka minne nauli ratiba duuuuuuh🥺🥺🥺🥺🥺 inakera
2026-08-08 07:54:35
0
mahame :
Sisi wenye viwanja ambavyo havijapimwa? tunapataje hati?
2026-08-08 07:59:21
0
mtanashati90 :
mimi ni wa dodoma lakini sio rahisi kupata hati tuwe wa kweli
2026-08-08 07:13:12
0
bealubricant :
mm nimelipia kwa wakala Pale pasua mwaka wa pili na hatai hatujapewaaa eneo la tanesco kibaoni pasua pembeni ya tpc
2026-08-08 07:15:58
0
Kastisma Malya :
uko maofisini mnatuzungusha Sana mpaka watu tunakata tamaa Yani mnaongea tu vitendo sifuri
2026-08-08 06:46:55
0
Laurent Mshani :
Kuna mikoa haipo
2026-08-08 06:20:57
0
mwitawakimarawaki :
nimelipa miezi miwili sijapata hat
2026-08-08 05:44:34
0
kemo Tz 🇹🇿 :
safi kabisa waziri na mimi nitaanza mchakato
2026-08-08 05:22:36
0
Hakeem :
nina miaezi 9 mpaka sasa nime kamilisha kila kitu na hati sijapata kila ukifatlia umaambiwa subiri siku 14 mwaka sasa huu
2026-08-08 06:39:45
0
Ray :
Nina miaka miwili nafuatilia hati tu
2026-08-08 06:35:53
0
(Kng d) MFALME wa WAYAHUD og :
mm nili wai kufatiria nika ambiwa million tano na kiwanja nime nunua milion 1.5 ila hati nimeambiwa nitoe Milan 5 nikaona nikae peembeni
2026-08-08 06:46:52
1
MAGWE :
WIZARA ARDHI FUTENI SHERIA YA KUMPOKONYA MTU ARDHI YAKE AKICHELEWA KUJENGA,HALI NI NGUMU MNO
2026-08-08 03:36:10
1
To see more videos from user @wizara.ya.ardhi, please go to the Tikwm
homepage.