Muda utaongea,ipi itakuwa na mafanikio zaidi,ya lamu au tanga.
2026-08-08 10:27:45
4
heed :
well broo, na itaanza lini na itakamilika lini, hapo ndo kizaaza.
2026-08-08 04:59:41
1
Tino Dady :
umesahau pipeline yenye bidirectional capability between UG and TZ ya refined oil
2026-08-08 07:19:19
2
Sultan 🥋 :
kaka kunawatu unapowataja viongozi kwa uzuri wanakasirika hao. 😂
2026-08-08 11:15:16
2
OfficialMo✅🕢 :
💯
2026-08-08 08:59:05
1
Mkatalunyatz :
big brain
2026-08-08 19:08:40
1
Fatmah shaybu ❤️ :
muongeaji wangu my brother
2026-08-08 08:32:35
3
mejamiela :
umetisha sana kaka
2026-08-08 10:45:55
1
sanaya :
kazi nzuri
2026-08-08 10:24:03
0
libila :
huyu jamaa anajua ila anazunguka sana mimi ndio simsikilizi sana namfuata raby
2026-08-08 12:32:06
1
Willy Willy2331 :
kama kuna nchi iko wivu na Kenya tz, hii ni kama vile SGR bila plan sababu tu kukomeshe Kenya 🤣🤣
2026-08-14 21:31:33
0
Mpoki Mwasimba :
walituchezea rafuu nasisi tumewapoteza kwenye timing
2026-08-08 14:00:54
1
Talos :
Jamaa anazunguka hoja hafiki kwenye point 🤣🤣🤣
Dakika 3 nzima anajaza misemo tu, em tembeeni na logic kidgo media za Bongo ndio zinapenda hii michezo ila wenye akili hawapendi kucheza na maneno dakika 5 bila hoja yeyote.
2026-08-08 11:25:09
1
dhidha salim :
Hazijajengwa bado.Wacha zijengwe ziishe zianze kufanya kazi.Tuone uzalishaji utakavyokuwa ndio tutaona nani kamzidi mwenziwe.Kwa sasa hivi ni kelele,mbwembwe na ushabiki na hisia nyingi.Muda utatoa majibu sahihi.
2026-08-08 10:52:04
0
Arr0w :
2026-08-08 04:58:40
1
MICHAEL MSELLE 🤖 :
SMA isome hiyo MOU vizuri hakuna sehemu yeyote ambayo imesema makubaliano hayo directly yanaeneda kujenga refinery. Hivi unawajua ccm kwa propaganda vizuri wangeishabikia sana. Makubaliano ni ya kimya kimya na ndo maana hayana hamshahamsha coz wanajua wabongo wape kichwa cha habari habari wateleta wao. Nakuhakikishia kabisa kwenye MOU iliyosainiwa hapo jana hakuna makubaliano ya kujenga refinery directly bali ni kuifanya tanga kuwa TANGA INDUSTRIAL HUB. Kasome OFFICIAL press release ya serikali ya UGANDA imeeleza ukweli wote.
2026-08-08 11:01:19
0
Barry23 :
unachambua kwa mihemko sanaa, the way unavyoshadadia huo mkataba, kwani Kuna mikataba minga nahaitekelezeki kwa wakati...?
RIP Magu.
2026-08-08 08:58:55
1
DIDAS MINJA 🇹🇿 :
USIPO MWELEWA "SMAA" ATAMAISHA YAKO HUTO YAELEWA
2026-08-10 07:26:03
0
MD Uwais :
😊😊😊😊😊
2026-08-08 10:26:00
0
To see more videos from user @djsma255, please go to the Tikwm
homepage.