@madiniplus_: Azim Dewji anaeleza kuwa mtu yeyote anayelala na njaa katika maeneo kama Mwanza au Shinyanga ni mvivu tu, kwani mikoa hiyo imebarikiwa na fursa nyingi za kiuchumi, ikiwemo utajiri wa madini ya dhahabu na ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo cha pamba na dengu. Akizungumza kupitia kipindi cha 'One on One' cha Wasafi TV Azim anasisitiza kuwa Mungu ameipendelea sana Tanzania kwa kuipatia kila aina ya rasilimali pamoja na amani ya kutosha, ambayo inatoa mazingira salama na tulivu kwa wananchi na wawekezaji kutoka nje kufanya biashara bila hofu. Video, Wasafi TV
Kwamba watu wote mwanza na shinyanga n matajiri au n wachimba madini.
2026-08-08 12:27:32
2
mdimiadam :
tajiri kashiba
2026-08-09 10:59:29
1
right :
😂😂 haya bhana hio misingi ya uwezeshaji kama kuwa na soko la uhakika na lenye thamani ya pamba watu wangeacha kulima pamba??😏 mmh bila magu tusingejuwa kama hata ushuru na kodi za serikali hulipagi halaf mnakuwa wa kwanza kuwacheka masikini ambao unasababishwa na serikali kwa kuwakandamiza kila mahali huku nyie ikiwachekea tu😏😏
2026-08-09 12:38:48
1
dollar 100$ :
huyu Mzee akikuwa atajuwa
2026-08-09 21:21:27
0
treshaz tz :
🌹🌹🌹
2026-08-08 16:32:20
1
To see more videos from user @madiniplus_, please go to the Tikwm
homepage.