@jukwaa.la.maarifa: ‎Sheikh Dkt Abdulrazak Amir Amewakumbusha Vijana Wa Sasa Ambao Kwa Kiasi Kikubwa Wamekua Na Tabia ya Kukaa Geto Bila Sababu ya Msingi Ni Jambo Ambao Alifahi Kisheria ‎ ‎Ni Vyema Kama Binti Anauhakika Wa Uwepo wa Wazazi Wake Wote Wawili Wapo inapendeza Binti Akae Nyumbani Kwa Wazazi Wake ‎ ‎Tabia za Baadhi ya Mabinti Wa Sasa Kujiamulia Kukaa Geto Ni Moja ya Vyanzo Vinavyochangia Mmomonyoko Wa Maadili Sababu ya Kukosa Usimamizi Sahii Wa Wazazi ‎ ‎Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amewakumbusha Wazazi Kama Akuna Sababu ya Msingi Ya Kukaa Geto Ni Vyema Vijana Wakae tu Nyumbani ‎

JUKWAA  LA MAARIFA🕌
JUKWAA LA MAARIFA🕌
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 08 August 2026 14:09:32 GMT
4259
216
7
24

Music

Download

Comments

abdulrazakamir
AbdulrazakAmir :
Ni sawa lkn huo si uongo kwasbb mtoto anapokua hana usimamizi ana nafasi kubwa zaid kuathirika kitabia
2026-08-08 14:50:19
1
raynmalika
P mchina :
Kwahyo mtu kaajiriwa mkoa mwngne ana maisha yake asiolewe kisa hatokei nyumban kwa wazazi au mnachoongeaga hamfikirii
2026-08-09 19:20:03
0
alwatan8877
Marshall Zhukov :
acha uongo maisha hayapo ivo anaweza tokea home akawa wa ajab kupita kiasi pia anaweza tokea geto mkaiahi maisha saf kabsa so msijifanye wajuaji sana
2026-08-08 14:29:03
1
esther13328
Esther 💕💕💕💕 :
🤲🤲🤲
2026-08-13 21:47:17
0
To see more videos from user @jukwaa.la.maarifa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About