@kendrick_kalisah: "Naambiwa na Mwenyekiti wa Bodi kuwa usajali wetu wa Simba labda bado haujaisha binafsi mimi niko tayari na pesa tayari nimeiweka Bank" Alisema muwekezaji wa Simba Mo Dewji. ✍️ | @kendrick_kalisah 📽 | Azam Tv #manaratv #manaratvupdates