@abdulkujaa4: Nimepata fursa ya kutoa salamu kwa niaba ya ujumbe kutoka Zanzibar tuliohudhuria katika Maulid ya Madrasatu Tadhwaamun Dar -es- Salaam kwa Shekh Walid na nimewaalika waumini kuhudhuria katika Maulid yetu ya Kitaifa yanayotimiza Miaka 100 mwaka huu In Shaa Allah