@veriafya: Daktari Bingwa Bobezi wa Magonjwa ya Figo, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Garvin Kweka anaeleza jinsi Matumizi makubwa ya Chumvi na Sukari huchangia kutokea kwa Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza, pamoja na kuathiri afya ya Uzazi hasa kwa Wanaume. Ni muhimu kwa kila mtu kuzingatia tabia njema za kutunza afya, hasa kwenye kuchagua aina ya Mlo kwani huwa na mchango wa moja kwa moja katika kuathiri afya ya Mhusika. Video: Hub of Wisdom TV (H.W TV)