sheria yangu ni
1. uliza jina bila jina situmi
2. ukihakiki jina ukarudi haijafika si shughuliki
2026-08-09 08:46:23
30
Gulam Kabuga :
Mimi natuma ila namwambia kabisa usirudi kusema haijafika
2026-08-09 08:03:30
15
Anneth😍 :
Mm sipend mtu anambie nikumkope ataniletea baadae yn saiv sitak namba za wateja
2026-08-09 07:22:52
2
NASSOR :
labda sio mimi kwanza picha linaanza akinipa simu namwambia baki nayo mwenyewe nitajie namba
2026-08-09 13:57:18
3
UshindiJudith :
sifanyi kazi hiyo...ya kusoma namba ya mtu kwenye simu yake, ataki kutaja mwenyewe namba apite tu simuhudumii
2026-08-09 12:52:40
2
Love me ❤️❤️ :
Asant
2026-08-09 07:40:18
5
Adv. Shabani Mwanga ⚖️ :
sifanyagi biashara chafu ivyo, kama hawezi kutaja mwenyewe asepe tuu asee 🙏🫡
2026-08-09 14:02:20
3
Hasinah dutch🧕🦋 :
Kama hajui jinaa usitume pesa 📌
2026-08-09 18:55:25
1
Jeyder 🎙️ :
ILINIKUTA HIYO TULIFIKA MPAKA POLISI NA NILIBADIRIKA NIKASEMA JINA ALILIKUBALI KIUKWELI SIKULIPA
2026-08-09 09:08:45
3
Ms mary🥰 :
asante
2026-08-09 09:09:33
0
Yolly :
ndio MAANA huwa kunazile karatasi ndogo mteja andike namba yake hapo harafu karatasi unabakinazo unaweka kwenye box kama ushaidi unampa anakopi yeye mwenyew
2026-08-09 09:31:17
3
👣Vancy :
kweli kabisa jamaa
imenikuta hiii walai
2026-08-09 07:13:41
4
tonyy :
umenichap man leo nimetuma salio la buku ninamwambia jina ansema we tuma tu basi nkatuma anaangalia salio ni 0 basi tukagawana hasra jerojero😳
2026-08-09 20:49:53
0
G➪🌟 :
hili nilishalielezea angalia video niliyo post hapo awali
2026-08-09 20:02:51
0
Neema moran :
nashukulu unanifundisha sana
2026-08-09 20:01:25
0
MICHAEL 🇹🇿☑️ :
mm akisema hajui jina huwa namrudishia simu alafu namtajia namba aangalie Kama sijakosea
2026-08-09 07:13:50
1
user8287050418769 :
asant
2026-08-09 18:54:16
0
fabianhamis@ :
kaz ni kupiga photo2
2026-08-09 19:52:40
0
mj@double2 :
Mm cjui kama nitarudisha hata mia😁😁
2026-08-09 20:21:44
0
ilomo :
kaka g Kuna,mteja anakuja kutoa hela anakuomba no.ya wakala Kisha anajifanya anatoa alafu anakwambia mtandao inasumbua anaamua kuondoka,baada ya masaa Kama mawili(2), anakuja anasema ile hela kumbe ilitoka,ukiangalia miamala Yako unaukuta kweli huwo miamala,ila ni feki hii imekaaje kaka?
2026-08-09 19:10:31
0
DINHO :
Bro shukran san kila nikiona vdeo yako lazima inipe darasa usiache kutusaidia mawakala wote
2026-08-09 19:51:17
0
Lavaboy Kinyambi :
kaka umesema ila saiz mateja bila jina usitume
2026-08-09 20:52:44
0
To see more videos from user @g_investment, please go to the Tikwm
homepage.