@user6676273239920:

user6676273239920
user6676273239920
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 09 August 2026 11:51:07 GMT
26014
632
142
121

Music

Download

Comments

desoniax
DESONIAX :
Haina haja ya kumsumbua Mh. Mkuu wa mkoa, Yesu mwenyewe anaona hayo yote na atashughulikia ipasawavyo, ni vile tu Yesu hawai na wala hachelewi, na pia kwa hao watoto wa mitaani jua Yesu humpa mtihani mja wake akijua anaweza kumudu, kwahiyo technically hao watoto wa mitaani wala hawateseki ni Yesu amepanga iwe hivo, Bwana Yesu asifiwe sana!
2026-08-10 05:20:05
4
zakayo.mlawa
Zakayo Mlawa :
umeongea pointi kubwa sana kaka wanakuja kutapeliwa huku na matapeli
2026-08-10 05:10:46
8
sam971644
sam :
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
2026-08-09 17:25:32
28
husseinbenson
UFO :
kwenye swala la imani hakuna kitu kinaitwa kuteseka
2026-08-10 05:17:16
4
babyv931
twiga# :
kwani aliwaita au wamekuja wenyew 😅😅😅
2026-08-10 04:30:52
3
userammaggie
@am maggie 🤞 :
baba Asante kuwasemea wasio naakiji
2026-08-10 01:31:16
14
chiefmagige
Chiefu magige :
mbeya wametajwa uku
2026-08-10 04:58:21
2
aswile.mwambage
Aswile Mwambage :
mwamposa ni rafiki yao unazani watamfanya nini. lkn pia na watu wenyewe kwanini hawatumii akili?
2026-08-09 20:26:38
24
david.james.david76
David james David james :
kwanin utaje mbeya wew
2026-08-10 04:23:30
2
jakkadihha
⚖️ :
sahihi
2026-08-10 04:20:00
2
unstoppablelovetz
jumong :
we unajuwaje kama wanateseka
2026-08-10 03:35:27
4
lababa426
T—Bagg :
Alooo kweli
2026-08-10 00:51:25
3
chenelo18
GTS🙏🙏 :
Mimi ni mgeni sijui, Ivi niulize swali wale Watu wanao enda sehemu yeyote ya ibada au yenye kutafuta UPONYAJI nk. Watu wale wanalazimishwaga kwenda huko makanisana au wanaenda wenyewe kwa matakwa yao?
2026-08-10 05:30:36
1
user33272138271697
KENYA CAPITO :
bibi yangu alihuza shamba
2026-08-10 04:50:17
1
exavery1234
daniel :
KWAN NAN ALIWAMBIA WAJE
2026-08-10 03:58:02
2
user4152945849137
big horn :
kwani tatizo lako nininihasa
2026-08-09 17:24:00
4
abilius06
abilius06 :
watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa,
2026-08-09 18:39:49
8
simeon.john50
Simeon John :
we ndo msemaji wao hongela
2026-08-09 19:25:25
5
rehemasambula
rehemajohnsambula :
kwani wameitwa si uvivu wao wa kuomba hebu mwache mkuu wetu ana mambo mengi ya kufanya kaka fanya yako hao watu ni mambo yso binafs
2026-08-09 23:48:42
4
steve.parker16
steve.parker16 :
Mzee upo sahihi kbsaaaa
2026-08-09 20:36:34
4
petermachoga5
peter Machoga :
Aliyewatuma nani
2026-08-09 20:23:46
2
user8799600149661
brighton :
umesema ukweli
2026-08-09 17:42:26
3
makasi490
makasi :
Kweli watu wanataka kupona.
2026-08-09 21:16:37
3
glory.komu0
Glory Komu :
mbona huyo mkuu wa mkoa ni Familia yetu huko kwetu kwa mwamposa
2026-08-10 06:32:09
1
brillyjr
Brilly Jr :
nani kawatuma na serikali inahusikaje apo😅
2026-08-10 01:20:20
2
To see more videos from user @user6676273239920, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About