@utumishichoir: Maendeleo yanaletwa ⚡️🇹🇿🙏🏾 hafla ya ufunguzi Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka, Awamu ya Pili (BRT II) unahusisha barabara ya Kilwa, Chang’ombe, Sokoine na Kawawa na Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan iliyofanyika Mtoni kwa Aziz Ali, Jijini Dar es Salaam. #SisiNiTanzania #TanzaniaYetu Cc @ikulu_mawasiliano @ikulu_habari @ofisi_ya_makamu_wa_rais @owm_tz @ofisi_ya_rais_utumishi @tanroadshq