mtu anaweza kujirekebisha na asiweze kurudia Tena akajutia alichokifanya kwahyo msiwe mnadanganya watu nyinyi ndo mnafanya watu anachukiwa maisha yao yote.
2026-08-10 08:19:10
21
happpy :
BAs bwana amenisaliti wamepata na mtt lakini kaniambia ilikua bahat mbaya
2026-08-10 16:16:31
5
Jenipha :
Jifunze kusamehe kwenye kusamehe kuna maisha mapya,Utaachana na wangap? Babuuu 😏
😭😭sehemu ya voice note ikowap maana kutype sitoweza😭😭
2026-08-11 06:50:56
2
nadya_🌹🌹 :
kila mtu ni msalit sasa tukae single
2026-08-11 17:46:18
2
Tatu Aden :
Sasaivi wakitusaliti na sisi tunawasaliti wala hatuwezi kusamehe
2026-08-12 11:40:52
8
sophiageorgeuhahu :
Unamsamehe mtu mala ya kwanza anarudia tena, anarudia tena mala ya tatu, mtu kama huyu unamuweka kundi gani.
2026-08-11 18:46:57
0
rosemary :
kwer kbisaa
2026-08-10 02:49:23
3
Apple User584492 :
Mtanichanganya ngoja kwanza mwanangu akuwe kulelewa na mama wakambo ni kazi 😔😔
2026-08-20 20:30:25
2
Pretty Angel🕊️🌸🦋🌺 :
Kwakwel 🥺
2026-08-12 17:11:39
1
Rahmangoi🧚🏽♂️🎶 :
Mm nilisalitiwa mara kwa mara na bado nilisamehe lkn haitosha bado walinisaliti mpka sasa wameoan inafurahishaa jmn🤣🤣🤣🤣
2026-08-10 22:18:30
0
Amiel :
ce vrai vraiment
2026-08-10 07:08:07
2
neyshad02 :
Je na wale wa kulipiza kisasi unawashaur vp
2026-08-19 19:58:59
1
aggy :
alinsalt nkamwmby akanipiga hatar
2026-08-10 15:46:13
2
Shoma Isack :
inategemea amenisaliti kwa aina gani😁😅
2026-08-10 12:10:13
1
peachren ⭐⭐☺️ :
usiseme hv nimemsaliti mtu na najuta had leo akinipa last chance cwez rudia tena nampenda😭😭😭😭
2026-08-20 18:53:09
1
hariminshijoselyn :
asante
2026-08-10 15:38:29
1
Orionyrepublic/Benediction :
Makofiiiii 👏👏👏
2026-08-09 21:26:39
1
Idifonsi Kipwagi :
Asante
2026-08-09 23:47:17
1
🥰samie🌹 :
sahihi kbs
2026-08-26 07:22:55
0
witnes🫰🌹 :
sasa mienifanye Nini kanizalisha watoto2 mtoto wangu wakwanza anamika4 wapili miezi3 nanimewapata kwa opaleshen kipindi nlivo kuwa mjamzito nikagundua amebadilika sana mbaka sasa nimegudua yupona mwana mke mwingine tena amempa nafasi kubwa sana kiasicha kwamba yulemchepuko unajua mambo yangu ambayo sizani atamwambia kamwambia umli wangu elim yangu kabila langu kiufupi ananijua vizuli nimeacha kazi sababu ipo kwenye uzazi Sina chakufanya nitaenda wapi nahawa watoto kiukweli nimechoka sana 😭😭
2026-08-25 20:35:34
0
habibty :
very true
2026-09-04 20:31:13
0
To see more videos from user @swahilimotivation1, please go to the Tikwm
homepage.