Hili mimi sijapenda kulijibu lakini ipo hivi mwimbaji anaitwa mwanza dar na hana nauli je akope ili aende kwa sababu ameitwa ok acha hivyo anatakiwa akarecod anatakiwa kifanya video kila kitu kipo na garama isipokua si kuudha kitu kizuri kipo hivi kanisa linamuitaji mwimbaji limsafirishe kwenda na kurudi kisha hata msipompa posho yeyote sawa lakini kila kazi ya Mungu ieshimiwe nikimaanisha tueshimu huduma siyo mwimbaji mwenyewe maana hata huduma nje ya kupewa na Mungu kunagarama ya kuitunza ivyo mimi naona ni vyema kusapot
2026-08-10 10:39:00
1
Maryjane Ferdinand :
biblia yenyewe inasema watekwenda je pasipo kupekwa?
2026-08-10 12:20:17
1
Patrick subuga :
amen
2026-08-12 19:49:59
1
Nana :
ilenikweli
2026-08-10 10:34:43
0
Game changer :
Kweli kabisa
2026-08-17 08:56:27
0
Ruth Gad :
sure
2026-08-12 16:08:53
0
Rashid 0762883856 kisii :
kabisa
2026-08-11 07:35:17
0
Mbise :
ni sahii kabs pastor
2026-08-10 13:49:57
0
JERUSALEM NAIROBI :
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇰🇪🙏🏾🙏🏾
2026-08-15 04:16:30
0
Robert :
si ata mchugaji anakula sadaka
2026-08-10 18:07:19
0
Paulinkichumu Ntapaka :
Amen 🙏🙏 baba 🙏
2026-08-11 06:15:59
0
Mc praise :
Barikiwa sana nimejifunza pastor
2026-08-10 15:06:15
0
agres :
amen
2026-08-11 19:42:58
0
steward electronics store :
Ahsante kwa Neno la MUNGU
2026-08-18 12:09:23
0
Apostle Stanslous Mussa Mihuka :
Mathayo:19;27-29 Amesema Yesu Yeye Asiyemwachilia Mwana wake Mwenyewe Bali alimtoa kwaajili yeti Atakosaje Kutukurimia na hayo yote uovu wa watumishi.
2026-08-11 11:44:15
0
ev,bisimwa kasongo :
amen
2026-08-12 21:40:04
0
yohana khatiaka shuka :
amen
2026-08-13 08:13:58
0
Son Of God, :
Amen
2026-08-26 09:06:12
0
samweli kenyata kivangi :
uko sawa
2026-08-31 19:52:12
0
Apostle Stanslous Mussa Mihuka :
Mungu wa Kweli Anaita watumishi na kuwafadhili Nimeona mimi katika huduma yangu tangu nimeanza mwaka January 1993 Sisi tumeacha vyote tukakufuata