yanga Amna kitu Mimi naona kama wanacheza utumbo Sasa bao gan la kufungwa jamani nisaidien
2026-08-10 07:54:59
2
user2760334203756 :
ndiyo Kabisa hapo hakuna Kipa watafute mwingine 😂.
2026-08-10 12:07:49
0
Benadetha Nyalali :
ni makosa ndani ya BOLI usiseme hafai kaka
2026-08-10 07:23:35
1
Lameck William :
sahii kabsa masalanha ni golikpa mzur kweli ila kiwango chake sio chakuchezea jangwani
2026-08-10 09:47:02
1
Hawa :
wew subiri muone atakavo wachakaza Simba
2026-08-10 07:24:53
0
Juma salimu :
cjawai kumwamini huyo mwamba
2026-08-10 14:58:27
0
MARCOM KASSIM :
unajua cc mashabik waiz timu za k/koo %70 weng wet tunapend timu Yan....iv mfano kwajins walivosajir simba yanga ndo tusem aziwez kufugwa or.....tusiweiv jmn at km unquchungu na timu yk jua mpila nao unasheriazak jmn Mn mpil unamatokeo ma tatu jmn kufungwa kufungua na kudrooo
2026-08-10 13:58:39
0
Godwinkainamula :
kipa mzembe, beki zote hazina nidhamu wapewe adhabu ya kufanya mazoezi mengi ya viungo ni wazito ktk kufanya maamuzi. wafanye mazoezi mengi ya viungo