Huyu umesema ni rafiki Yako. Hiki unachokisema ungempigia simu muongee mmalizane kwenye simu. kujirekodi na kuweka mdandaoni unatuviruga sisi wananchi. Msijione kuwa nyie ndio wenye haki ya kutusumbua kifikira. Hebu tuacheni sisi wananchi jamani . Sisi hatupendi mambo ya mipasho kwenyeitandao.
2026-08-10 08:36:31
0
biggy :
Hakuna fisadi yyte anaetaka katiba mpya na ndio maana wanachofanya ni kutumia majukwaa na baadhi ya watanzania wajinga wasiojua maana wala umuhimu wa katiba mpya wanawarubuni kua kudai katiba mpya ni kuvuruga amani ya nchi kumbe wanajua kabisa kua katiba mpya ikiwepo uwezo wa wao kufanya wanayofanya sasa hv itakua ngumu
2026-08-10 11:03:28
0
Rashidi Fusi :
makamba unataka uzaliwe upya utaweza kweli tupo hapa tunakufatilia kila post yako
2026-08-10 12:53:03
0
Movies Geeks :
Hella ZIPO SANA TU.............
2026-08-10 18:58:47
0
Edithagb068587 :
wanamabo yao yanayohofia yawezekana ndo wanakwamisha katiba kupatikana mungu atupiganie baadh ya vigogo hawaipendi katba mpya
2026-08-10 08:27:35
0
machaoedward :
😂😂😂
2026-08-10 08:55:41
0
To see more videos from user @user4473487999153, please go to the Tikwm
homepage.