@jaysontz2:

Jayson
Jayson
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 10 August 2026 08:18:59 GMT
92490
7901
255
163

Music

Download

Comments

ramadhan.kulwa91
Ramadhan Kulwa@ :
kama wewe mwana simba weka❤️
2026-08-10 08:28:09
237
mrtango202
engineer mwamba :
super striker
2026-08-10 10:59:41
0
millionairechrix
Dapper chrix 💣 :
yanga wasipo iga hii tupo hapa
2026-08-10 10:18:22
49
wammyflavour8
mzawa master🇹🇿 :
kwamimi mwana simba naomba jayruty msajili mchezaji wa Kongo aliofunga magilo mawili siku ya yanga day au Ile mido Yao wazuli sana awo blood
2026-08-10 09:44:55
31
baba.tza
Marangu Boi :
Huyu ndiye mtaalamu wa usajili kwa simba
2026-08-10 14:09:12
8
user9725912705534
seche :
wekaaaa nambaaaaa saiv ,, maana nisije honga huku
2026-08-10 09:39:34
15
fei_blance
fei :
JAYTUTY AKILI MINGI SANA.. SIMBA TUMTUNZE SANA HUYU JAMAA
2026-08-10 10:23:49
39
fahimmapunda
honey 🍯 25 :
nguvu mojaa
2026-08-10 09:25:05
10
phillyshoescollection
CEO PHILLY :
Ela zipo bank michango ya nin
2026-08-10 13:40:52
1
user6634071436150
mrs d voice :
tunataka fesari
2026-08-10 13:36:46
0
samjr604
Sam 4045 :
Sawa baada ya kumnunua kwa kuchangua je kumlipa mishahara tutamlipa vipi kwa kuchanga tena au?
2026-08-10 09:17:04
4
user6050355293367
[email protected] :
hv unajua wachezaji ambao wanaweza kuamua matokeo wakati wowote hua ni viungo sasa kwa simba viungo waliopo mm naona hawawezi kuamua matokeo yoyote,waje viungo wazur kama zemanga soz
2026-08-10 10:03:15
8
boazernest613
Tristan🤑 :
team X wataiga kama nasema uongo tupo apa😂
2026-08-10 10:27:48
10
abamkondo
aba mkondo :
mkataba unasema yeye kila msim anasajili mchezaji 1 sasa atakuja yeye haja nunua mchezaji mchezaji atanunuliwa na mashabiki na sio yy mpaka hapo atakuja nije ya mkataba ninachokiona mm unaruhusiwa kunikosoa kama nimewlewa vibaya
2026-08-10 09:17:46
1
christina.machemb
Christina Machemba :
kwani dirisha linafungwa lini
2026-08-10 13:18:07
0
mkaraboka
Seleman Mkaraboka-MCMXCVII :
Free Juma Jux
2026-08-10 12:40:58
1
mimah.sheha
mimah sheha :
mtu anayeongea namna hii huwa ana ukweli ndani yake. Nimekuamini broo
2026-08-10 13:14:00
0
jbtz20
jbtz20 :
Jama anaakili sana sema vizur havidumu 🤲🤲🤲 dua nyingi
2026-08-10 09:17:22
10
gosbartmeshack
Gosbart Meshack Bagyichile :
Naomba mtume lipa namba
2026-08-10 09:29:11
5
abedi075
abedi075 :
tunanunuaje
2026-08-10 11:36:55
0
user19952828165735
😇😇💦 :
we kak mungu akuweke huyu anafaa kuwa mwenyekiti sasa 🥰🥰🥰🥰🥰🥰leta namba hiyo watu tuchange chap kwa haraka
2026-08-10 11:10:57
3
everynemoses
everyne Moses :
naona unachelewa Fanya hivyo chapu nisije nikaenda kununulia wine🤣
2026-08-10 11:18:26
1
charlesathuman
Charze classic :
Wanasimba inabidi tujute sana kwa kuchelewa kupata mtu kama huyu aisee na inatakiwa tumlinde kwa nguvu kubwa sana
2026-08-10 10:59:23
2
mrlige2
Mr LIGE :
watuu weweeee 💪
2026-08-10 10:19:17
1
2005.nyerere17
nyerere,17 :
yanga asiangalizie mambo yetuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,nahama nchii ,,,wasipoiga😅😅😅
2026-08-10 11:16:46
0
To see more videos from user @jaysontz2, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About