@veriafya: Mtoto huanza kujaribu kutamka neno lake la kwanza mwezi wa 6 hadi 8 baada ya kuzaliwa, baada ya kusikiliza sauti mbalimbali toka akiwa na miezi sita tumboni kwa mama hivyo ukiona ameshatimiza mwaka na hashtuki akisikia sauti kali mfano ya kubamiza vitu au milango basi awahishwe hospitali kwa uchunguzi na matibabu zaidi Elimu hii ilitolewa na Dkt. Naufal Kassim, Bingwa wa Masikio, Pua na Koo kupitia Zanzibar Outreach Program TV