@makeup_mabell: Link aquí arriba de mi nombre ⬆️⬆️ Este delineador líquido es de larga duración y vean cómo se mueve la punta 😳 . . . . . #sacheubeauty #Eyeliner #sacheueyelinerstayn #mabellrodrigueztiktokshop #mabelltips

Mabell Rodriguez
Mabell Rodriguez
Open In TikTok:
Region: US
Monday 10 August 2026 18:53:08 GMT
22277
789
16
18

Music

Download

Comments

valeriagutierre180
Hilary Gutierrez :
yo quiero probarla
2026-08-11 22:02:50
2
kattyjiron
Katty Jiron :
omg hay q comprarlo
2026-08-10 18:55:56
1
ximena.cstill
Ximena Cästillö𐙚˚.⋆ֹ*.♡☆ :
cómo se llama disculpe 😁
2026-08-12 06:14:17
1
yessy.alvarenga
Yessy Alvarenga :
yo lo quiero mabel y esa cosa rosada tambien
2026-08-10 18:58:21
0
user95962129102742
anyela :
Hay q comprarlo eres genial Mabel
2026-08-10 19:04:15
0
xiomibanegas
Gx Aguilar :
definitivamente ese va ser perfecto para mi porque yo si gastos en delineador que siempre terminan regados gracias hermosa por demostrar que si es real 🥰
2026-08-10 19:25:39
0
maryam.ryan6
Maryam Ryan :
20 de 10 Mabel
2026-08-11 01:29:31
0
fannylizarraga4
fanny Lizarraga✨ :
Se mira geniaaal😍
2026-08-10 19:36:57
0
lily_sj0412
Jinniemoon💜 :
que belleza
2026-08-12 17:11:03
0
aryromero123
araromero656 :
wuau eso necesitamos todas las q dudamos a la hora de delinear
2026-08-11 10:57:48
0
valeriapineda252
valeriapineda25 :
Que
2026-08-10 18:59:12
0
amaly221
amalyaguilar⏳🌈✨ :
🥰
2026-08-11 01:02:37
0
elimarvillegas
tereza :
🥰🥰🥰
2026-08-10 18:58:59
0
mayramos217
May-Ramos :
🥰
2026-08-12 13:35:48
0
To see more videos from user @makeup_mabell, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

“Revenge isn’t a passion, it’s a disease. Kulipiza kisasi si hisia ya kawaida tu, ni ugonjwa.” Watu wengi huona kisasi kama haki, lakini mara nyingi huwa ni gereza la akili. Mtu anapoumizwa, kusalitiwa, kudharauliwa au kutendewa vibaya, ni kawaida kuhisi hasira. Hasira ni hisia za kibinadamu. Lakini hasira inapogeuka kuwa kisasi, maisha huanza kubadilika. Badala ya kuishi kwa ajili ya ndoto zako, unaanza kuishi kwa ajili ya mtu aliyekuumiza. Badala ya kujenga maisha yako, unaanza kutumia nguvu, muda na akili yako kutafuta namna ya kumwangamiza mwingine. Hapo ndipo kisasi kinapokuwa ugonjwa. Kina-consume akili yako polepole. Kinachukua muda wako. Kinaharibu amani yako. Kinapoteza furaha yako. Kinakuzuia kusonga mbele. Cha kushangaza ni kwamba mara nyingi aliyekuumiza anaendelea na maisha yake, huku wewe ukiendelea kufungwa na tukio la zamani. Ndiyo maana watu wengi waliofanikiwa baada ya kupitia maumivu makubwa hugundua jambo moja: Mafanikio makubwa si kulipiza kisasi. Mafanikio makubwa ni kupona. Kuna tofauti kubwa kati ya haki na kisasi. Haki inalenga kurekebisha kilichoharibika. Kisasi kinalenga kuumiza. Haki huleta amani. Kisasi mara nyingi huzaa kisasi kingine. Usimruhusu aliyekuumiza awe mmiliki wa akili yako kwa miaka mingi. Kumsamehe mtu haimaanishi kwamba alichokufanyia kilikuwa sahihi. Inamaanisha umeamua kutompa nafasi ya kuendelea kuharibu maisha yako kutoka ndani. Maisha ni mafupi sana kuyatumia ukiwa umebeba mzigo wa chuki moyoni. Kisasi ni kama kunywa sumu ukitegemea mtu mwingine afe. Kadri unavyokishikilia, ndivyo kinavyokula amani yako. Ushindi mkubwa si kumwangusha aliyekuumiza, bali kujenga maisha yenye mafanikio, utulivu na furaha kiasi kwamba maumivu aliyokusababishia hayawezi tena kukutawala. Heal. Grow. Win.
“Revenge isn’t a passion, it’s a disease. Kulipiza kisasi si hisia ya kawaida tu, ni ugonjwa.” Watu wengi huona kisasi kama haki, lakini mara nyingi huwa ni gereza la akili. Mtu anapoumizwa, kusalitiwa, kudharauliwa au kutendewa vibaya, ni kawaida kuhisi hasira. Hasira ni hisia za kibinadamu. Lakini hasira inapogeuka kuwa kisasi, maisha huanza kubadilika. Badala ya kuishi kwa ajili ya ndoto zako, unaanza kuishi kwa ajili ya mtu aliyekuumiza. Badala ya kujenga maisha yako, unaanza kutumia nguvu, muda na akili yako kutafuta namna ya kumwangamiza mwingine. Hapo ndipo kisasi kinapokuwa ugonjwa. Kina-consume akili yako polepole. Kinachukua muda wako. Kinaharibu amani yako. Kinapoteza furaha yako. Kinakuzuia kusonga mbele. Cha kushangaza ni kwamba mara nyingi aliyekuumiza anaendelea na maisha yake, huku wewe ukiendelea kufungwa na tukio la zamani. Ndiyo maana watu wengi waliofanikiwa baada ya kupitia maumivu makubwa hugundua jambo moja: Mafanikio makubwa si kulipiza kisasi. Mafanikio makubwa ni kupona. Kuna tofauti kubwa kati ya haki na kisasi. Haki inalenga kurekebisha kilichoharibika. Kisasi kinalenga kuumiza. Haki huleta amani. Kisasi mara nyingi huzaa kisasi kingine. Usimruhusu aliyekuumiza awe mmiliki wa akili yako kwa miaka mingi. Kumsamehe mtu haimaanishi kwamba alichokufanyia kilikuwa sahihi. Inamaanisha umeamua kutompa nafasi ya kuendelea kuharibu maisha yako kutoka ndani. Maisha ni mafupi sana kuyatumia ukiwa umebeba mzigo wa chuki moyoni. Kisasi ni kama kunywa sumu ukitegemea mtu mwingine afe. Kadri unavyokishikilia, ndivyo kinavyokula amani yako. Ushindi mkubwa si kumwangusha aliyekuumiza, bali kujenga maisha yenye mafanikio, utulivu na furaha kiasi kwamba maumivu aliyokusababishia hayawezi tena kukutawala. Heal. Grow. Win.

About