@omig.omig: FEITOTO YUPO ZAKE ZANZIBAR JAPO AJAJIUNGA NA KIKOSI CHA SIMBA MOJA KWA MOJA ILA MUDA WOWOTE ANAWEZA AKAJIUNGA NA WENZIE BAADA YA KUTAMBULISHWA tutegemee lolote TAREHE 12 SIMBA BINGWA FEISAL NI MNYAMA UJUMBE WA FEITOTO KWA WANASIMBA TUJIANDAE TUKUTANE TAREHE 12 BIG SURPRISE INAKUJA WELCOME SIMBA SPORT CLUB FEITOTO JAY RUTTY BIG UP 🙌🙌🙌. FEISAL NI MNYAMAA SASA NGOMA BADO HAIJAISHA JAY RUTT KATIMIZA AHADI YAKE SIO SIRI TENA JE MKOTAYARI KUMWONA MTOTO WA NYUMBA ZANZIBARI? Weka comment yako 🎟 🚨 **HERE WE GO!** 🦁🔴 Taarifa zinaeleza kuwa **Feisal Salum "Feitoto"** amekamilisha dili la kujiunga na Simba SC kutoka Azam FC. 👀 Je, una maoni gani kuhusu ujio wa Feitoto Simba? Andika maoni yako hapa chini, usisahau kushare na kumtag shabiki mwenzako wa Simba! 🦁❤️ #SimbaSC #Feitoto #SimbaDay #NguvuMoja #Michezo TanzaniaFootball Msimbazi Burudani yangasc simbasc simbanguvumoja yangaday