sio kweli huyu jamaa hapana kwakwel hakuna kanisa hapa kila sehem kuna utaratibu na sheria hat choon kuna kopo linalotumika huko huwez kwenda na kopo lolote tu mm ni mkristo nmeokoka navaa sulual ila sio kanisan
2026-08-11 19:34:31
45
kefasoni Seth :
unaweza kuta anatembea nae
2026-08-11 19:17:25
13
MR RHINO 🦏🦏🦏 :
manabii wa uongo ni wengi sana tuwe makini
2026-08-11 14:40:09
28
rey qeen💞💞💞 :
Mchungaj unapatikana wap nkuletee amani yang katikat yamapaja🥰🥰🥰🥰🥰
2026-08-12 08:45:30
7
G izengo artist🙏🇹🇿 :
mh ivi kuna mtu anasikia hasila kama mimi?
2026-08-12 18:26:24
19
Dada muuza ges namchele :
Dah sijuwi ndio nyakati zamwisho nashindwa kuelewa
2026-08-12 08:33:56
10
♍mg :
KKKT,Moravian,sabato na wale waroma wenzangu hii kitu haituhusu tutapewa vitenge mlangon nafikiri mama zetu mlangon ifike mahali tujitambue
2026-08-11 18:05:24
25
UNIVERSAL LYRICS :
hli sio kanisa la ipm kweli?
2026-08-11 16:47:13
18
WOG. NURU🦋🩵 :
“ KILA ATAKAE NIFUATA AJIKANE MWENYEWE SIKU ZOTE KUJIKANA NI KUKATAA KUFATA NAMNA YA DUNIA NA MAMBO YAKE LAKINI KWA GENERATION HII YETU YA SASA INJILI INAGOSHIWA SANA WATU WANAHOFIA KUWAAMBIA WATU UKWELI KWASABABU TU NI WATOAJI SANA AMINI NAWAAMBIA HIZO ROHO MNAZOZIPELEKA MOTONI MTAZIJIBIA HUKUMU ITASIMAMA KWENYE VICHWA VYENU MUNGU HADHIAKIWI KUNA MAFUNDISHO UKISIKIA ROHO MTAKATIFU ANAHUZUNIKA“ WAPENDA PASIPO MSAADA WA ROHO MTAKATIFU KIZAZI HIKI KINAKUFA TUNAFUNDISHWA UFAHARI WA DUNIA NA KUSAHAU KUELEKEZANA NAMNA YA KUISHI KUSUDI NA AGIZO KUU INJILI YA SASA IMEINGIZWA UDUNUA SANA HUKU TUKISEMA MUNGU ANAANGALIA MOYO MUNGU ATUSAIDIE SANA🙏🏽🕊️
2026-08-11 16:48:07
5
Nathan_Barton :
unawapoteza wengii
2026-08-11 14:40:37
9
MASHEYN PERFUME ✅💐 :
tupe na andiko
2026-08-12 05:04:04
7
Goldy_Gee🔶 :
Ngoja nibaki Lutheran tu😂
2026-08-12 13:54:27
2
stephanopaulo597 :
endeleeni tu kuwapoteza wasiojua neno hukumu yenu ipo, rafiki wa dunia ni adui wa Mungu kabisa
2026-08-17 18:51:26
1
MGK TZ🇹🇿 :
Sikuizi michongo tu
2026-08-11 15:29:05
6
ishumaely :
duuuu
2026-08-29 18:15:48
1
OTSeI tutu :
hamna kitu hapa
2026-08-12 11:24:19
0
MWINJIRISTI PHIRBETH🙏 :
wewe maandiko yanasema tutawajua kwa matendo yao hakika hizi ni nyakati za mwisho!!
2026-08-12 20:21:04
4
AMANI MAGANGA :
Kaka mm nimekuelewa sana tena sana watu kama hawa hautakiwi kuwaelekeza kwa ukali au kwa kuwasimanga na kuwanyanyapaa kisa mavazi au kisa hajasimama kiroho watu kama hawa wanapokuja makanisani tunatakiwa kuwaendo vizuri taratibu ipo cku atabadirika na kusimama kiroho na kubadirika kitabia hadi kimavazi watu wengi wanakimbia makanisani wanakutana na walokole wanaojionaga wao wakamilifu kuliko hata Yohana mtakatifu wa kwenye bibilia wanawanyanyapaa na kuwasimanga na kuwaelekeza kwa ukali wakiondoka hapo hawarudi tena kanisani Mungu akubariki sana kaka nimekuelewa sana tena sana👍
2026-08-11 18:17:49
3
felicitous :
hata kuwa mnyakyusa sio dhambi.
2026-08-23 12:25:29
1
REYMOND PETER :
MUNGU KWANINI USIJITOKEZE HAZALANI WATU WASIOKUJUWA KAMA HAWA UWAPE WANACHOSTAILI
2026-08-13 14:22:29
2
A. B. D. U. L. I🥷🏾 :
Tuko mwaka wambele jaman tuko mbele ya muda
2026-08-11 22:18:18
2
To see more videos from user @pastor_nick_ipm26, please go to the Tikwm
homepage.