@veriafya: Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi, Godfrey Chale anashauri umuhimu wa wazazi kuchunguza muonekano wa korodani za watoto wa kiume kabla hawajafikia umri wa balehe ili kuwaokokoa dhidi ya changamoto zinazoweza kutokea ambazo huathiri mfumo wao wa uzazi kutokana na kupotea kwa uwezo wa kurekebishika. Akizungumza kupitia Malkia Choice FM, Dkt. Chale anatoa pia wito kwa wazazi kutokuwa wabishi pindi wanapopewa ushauri na madaktari kuhusu matibabu sahihi ya changamoto za kutoonekana kwa korodani kwani matibabu ya mapema huwa na ufanisi zaidi.
Nina mapacha wa Mika 11 Kwa sasa,mmoja akiwa mdogo Tu niligundua Kua anayo moja,tyr aimeshashuswa,baada ya muda mrefu mwingine naye nikaona zimepotea zoteHapa ndo najiandaa kumpeleka hospital,
2026-08-11 12:06:42
1
katushabe :
doctor uko wapi
2026-08-11 09:50:05
0
ma 'zuu :
Nimejifunza
2026-08-11 18:45:11
0
treasures :
mwanangu mm yupo ana mwezi mmoja jee anaweza kufanyiwa op
2026-08-11 13:13:09
1
Anipha :
duuuuh unajuaje kwamba simehama hasipo
2026-08-11 18:36:42
0
SURAIYA @120 :
Mimi wangu ana miaka 7 Moja hua imepotea ,nn nifanye
2026-08-11 15:56:51
0
user8328158879982 :
unapatikana wapi
2026-08-11 17:22:02
0
user6886612323312 :
duu jamani mwanangu alikua ivoivo
2026-08-11 17:13:04
0
user6563841246908 :
dokta wangu yupo hivo anamiak 4 Yani inavimba sana 1
2026-08-11 17:58:13
1
Marga :
Nimemkagua sasa hivi kanikimbiza nisimchungulie 🤣🤣🤣lakini nimefanikiwa 💃🏾💃🏾
2026-08-11 18:43:28
0
john :
Huyu Baba Mwenyezi Mungu azidi kumtunza ni Daktari na Mwalimu Mzuri wa afya anafundisha mafundisho ya Ndoa pale Msimbazi Senta.Anafundisha vizuri sana na anajibu majibu vizuri sana
2026-08-11 17:37:31
0
GRACE THOMAS OLELAPUT :
dr wangu 1.5yr huwa zina potea na kurudi mara mojamoja, nilimpeleka hosp wakasema hana shida baada ya ultrasound, lkn nina mwezi sasa haijawai kumtokea,
2026-08-11 12:41:37
0
zuhuramrisho20 :
Dr wangu anamwaka sasa huwa moja inavimba nilienda hospital nikaambiwa bado mdogo hawezi kupasuliwa
2026-08-11 12:28:18
0
vian :
wangu mm nilikua namkagua hadi la Saba
2026-08-11 13:13:24
0
Nyamongo Da G collection :
Yaani tupe maujuzi
2026-08-11 11:31:40
0
user8328158879982 :
naomba namba yako doctor
2026-08-11 17:22:18
1
mercyjohn601 :
doctor tunaomba namba zako
2026-08-11 10:45:35
0
Lisa de lishas :
mmmmh wangu anayo moja
2026-08-11 11:20:31
0
Fettyfetty :
kumbe Kuna siku nilimuuliza doctor kuhusu hizo vitu akasema namkagua mtoto nataka kumfundisha nini
2026-08-11 18:45:41
0
Mkurya@Miss billionaires :
hata wangu Moja ilikuwa juu mama ndo aligundua tukampeleka hospitali ikaibinyabinya akasema itashuka ,Mungu mwema ilishuka tu mapema Yuko sawa sasa
2026-08-11 17:22:13
0
user4265312935694 :
sielew chochote na babaake hajali kukagua wanae
2026-08-11 11:27:00
1
DEM@🌸 :
@Official Emashe TZ😎
2026-08-11 09:55:42
0
Dr.Lissah.🥼💉🩺🦴🇹🇿🇺🇸. :
💝💝💝
2026-08-11 12:05:09
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm
homepage.