@diamond_mihogo: Karibuni sana wateja wetu wapendwa Diamond Mihogo tupo wazi na tunawangoja kwa hamu! Mihogo tamu, mishkaki moto na huduma safi kabisa Usipite tu… karibu ujipatie kitu kizuri! Tunapatikana Kinondoni Manyanya mtaa wa Karafuu.
tafuteni mtu wa kupokea oda tyu,, na oda zenu anzeni kupokea saa nne asubh had saa sita chakul kikiwa tayri ni kupack na kumpa boda.... sehemu nying za restaurant wanavyofanya
2026-08-11 17:28:10
54
katoto :
huduma zenu zero kabisa
2026-08-11 17:33:53
17
gorgeous 😍 :
Mkipigiwa hampatikani
2026-08-11 16:55:24
13
Adoh🌹…. :
Mjipange huduma bado mbovu mno sms hazijibiwi simu hazipatikani
2026-08-11 16:08:38
12
♎️ LIBRA GIRL :
Jaman naomben namba inayopatikana nimeongea na mtoa huduma wenu kwenye sim naona hampatikani mtu anatoa oda ya mchana hakuna kupika hampatikan maana yake nini
2026-08-11 11:27:04
8
CASINDY STORE. :
mm niliwek oda simu ikazimwa kabsaaa had leo sijarud tn
2026-08-11 18:53:07
4
prisca kanju :
mnaweka namba tukipiga haipatikan kuleni wenyew sasa
2026-08-12 10:44:53
2
Mosha🍀 :
Mwanzo mgumu jaman mtuvumilie
2026-08-11 19:57:55
2
Layur :
kbsaa huduma sio nzury
2026-08-11 18:21:16
2
Mom fei mu :
Huduma mbov miog saa sita😳
2026-08-11 19:06:10
1
user9251642786325 :
Nataka Mihogo Chanika Homboza
2026-08-11 16:46:21
1
Hussein Makwendo :
upo wazi kweli
2026-08-12 08:17:11
0
Jareth Isaya :
mimi namtaka lozi
2026-08-12 04:04:10
0
shamimkareem450 :
jumapili mnakua wazi
2026-08-11 10:43:27
3
Sasamu Agatha :
nimefika hapo sikula nyama wakati niliweka order
2026-08-11 17:03:57
0
rumosa :
mbona munachelewa kuanza 😁
2026-08-11 16:42:53
0
Cha kuchoka :
naombeni KAZI ya yyt
2026-08-11 15:27:55
0
Shuu brown :
Nipo kibaha nahitaji mihogo
2026-08-12 08:51:49
0
Arusha Electronics :
karibuni sana jamani
2026-08-11 15:20:44
2
Arusha Electronics :
karibuni sana
2026-08-11 15:21:00
2
Azizah hasheem2 :
Msitangaze tu maana hamjielew😂simu yenu haipatikani huku mtandaon mmamtamgazia nani?
2026-08-11 16:15:04
1
Hussein Makwendo :
anzeni asubuhi acheni uvivu
2026-08-12 08:17:37
0
To see more videos from user @diamond_mihogo, please go to the Tikwm
homepage.