@5star_newstz: #Mangungu Baada ya kuulizwa Kuhusu Seleman Mwalimu kasema Asiulizwe Maswali ya kijinga pia amefunguka Kuhusu Seleman Mwalimu kwenda Simba sc #Wydad waliandikiwa Barua Kuhusu kumchukua Tena Mchezaji huyo kwa Mkopo hivyo Imekuwa Tofauti kwao 🤔😂 Unakipi Cha kumshauri #Mangungu, Dondosha Comment #updates #5starnewstz