ndacha u're okay with u're teachings .If I may ask are we supposed to be baptized in three names i.e father,son en the holy spirit according to matt 28:16..
2026-08-11 19:06:36
1
ibrahim :
ndacha saruti kwako 🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
2026-08-17 14:54:39
0
elibarikijohnson9 :
powerful
2026-08-13 18:37:30
0
TELE GRÂCE :
axanti kwakutuandaliya haya mada mutuoneshe ukweli kuusu hilo jambo tunawafata huku congo
2026-08-11 11:24:11
1
user1471768063579 :
Ndacaakosafi
2026-08-16 18:12:07
0
Caleb moses :
ndacha you're the best
2026-08-14 18:04:30
0
user9936843027424 :
ndacha ataelewa kwaloho mtakatifu
2026-08-12 17:21:28
0
Tim K :
Yesu ni Messiah na Mungu ni Jehovah.
2026-08-12 21:58:29
0
QASIM QASIM :
ndacha waeleweshe kabisa
2026-08-11 13:18:27
0
kilimanjaro mountain :
huyu jamaa atabadili muelekeo mzima wa kanisa
2026-08-13 12:56:52
0
elius ndosh :
kama wote sawa kwa nini tusitumie jina la mmoja wao tukibatiza???
2026-08-13 08:36:19
0
user94105528147932 :
mutumishi ndacha mungu akubariki sana.
2026-08-13 19:00:40
0
Ibrahim :
kalibuni katka chuo cha umisheni cha sayuni tujifunze Biblia na mafumbo yaliyoandikwa humo.
2026-08-14 09:28:17
0
Samuel Shashanga :
yohana 14
18 Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.
23 Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.
2026-08-13 01:32:10
0
Majani Tanzania one :
baba ni mungu,, mwana ni yesu na roho mtakatifu ni malaika ambae hutumwa kuunganisha kati ya mungu na manabii,,,,
2026-08-18 14:30:14
0
kipngetich :
Genesis 1:2
[2]And the earth was without form, and void; and darkness was upon the face of the deep. And the Spirit of God moved upon the face of the waters.
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
2026-08-12 18:50:27
0
Daddy A. :
masihi😌😌😌
2026-08-11 19:41:31
1
Justine :
Ndacha unajikologa soma wafilipi 2:8-10
2026-08-12 06:03:30
0
Odeba Obeba :
Matumizi ya " Jina la Yesu" ni kama ufafanuzi ya mfano, Yohana Mbatizaji ndo aliyetabiriwa katika Kitabu cha Malaki 4:5 kwamba atakuja " Eliya ". Maanake Yohana si Eliya mwenyewe, wala si kwamba ataitwa jina 'Eliya', bali atakuja kwa roho, mamlaka, na nguvu za Eliya
Mwankemwa:
Kubatizwa kwajina la Baba Yehova
Ni kwasababu Yeye nimtumaji na Source wakila kitu na was uhai na uzima , kwa jina la mwana ni kwasababu Jina la mwanae Yesu nalo linamaanisha (Yehova ni wokovu) kwahiyo Yehova anatuokoa kupitia mwanae Na lazima uamini na ukili kama Yesu ni mwana wamungu na alitumwa na mungu , "si kuwa Yesu ni mungu" ili upate uokovu Na kwa roho mtakatifu ni kea sababu bila roho mtakatifu hatuwezi kumsogelea mungu wala kumjua yeye na mwanae , Kea sababu Roho mtakatifu ni "Uwezo wa mungu" si mungu roho , anao utumia kwasisi kufanya yale anaoyahitaji kupitia Yesu kristo kama mpewa mamlaka yakufanikisha jambo lake, Amen👏🏻
2026-08-13 08:37:44
1
jovan :
ndacha ni mwalimu nzuri sanaa
2026-08-21 23:55:01
0
Omari Kitabu :
Ndacha amenyooka
2026-08-13 20:20:45
0
nado :
uzur ni wenyew t cc tumekaa pemben tunasubir mtavokubaliana ila allah ni mmoja t hana mtoto
2026-08-12 17:35:26
0
Akulema Sivalingana :
ndacha an sahihiwengine wana teteya ugalo
2026-08-12 07:15:29
0
To see more videos from user @7jesusfirst7, please go to the Tikwm
homepage.