@eghomotors: EGHO MOTORS sisi tunahakikisha tunakuuzia gari na tuhakikisha unakuwa salama pia kwa kukupa elimu sahihi ya matumizi ya barabara karibuni sana
kibao cha kumaliza hamsin kina mistali mitano katikati ya kibao cha kumaliza hamsin hii misitali ina manisha nn?
2026-08-11 12:31:58
5
Ozzy.Drexm@n :
Umetixha 🙃😁
2026-08-12 13:13:54
1
mariam mruma :
🙏🙏nazidi kujufunza mengi
2026-08-21 12:17:55
1
Samuel kariuki :
good teacher God bless you so much 🙏
2026-08-22 07:44:43
1
Buu Strikers23 :
Kwenye zebra
2026-08-12 04:22:49
1
𝕄𝕣 𝕊𝕞𝕚𝕝𝕖 :
Vp kwenye alama ya hamsini 50 nikaendesha kwa speed ya 30 Je ni kosa au sio kosa
2026-08-12 10:55:51
0
georgecharles942 :
kuna alama R na limechorwa bus, Maana yake ni nini?
2026-08-13 21:57:34
2
@francisringo1 :
N2
2026-08-13 18:48:07
1
Makarius Rweyemamu :
naomba kuongea na ww
2026-08-21 21:07:25
2
baraka shayo :
mbn kwenye 50 yenye mistar umetuchanganya au sio tanzania hii
2026-08-12 04:43:00
0
James bike💯💯 :
t10
2026-08-12 14:40:39
0
user7033003710230 :
Mstali solids line mmoja katikati ya barabara nikumbushe una maana gani?
2026-08-17 19:49:50
1
SAIDI MCHONGO :
kwanza umenifundisha nashukul mung akujarie
2026-08-12 12:55:40
1
mimi mimi :
mbona nimempenda huyu Dada
2026-08-12 11:03:57
1
emmanueljohn717 :
hiyo mistari ya kwenye end of speed limit sign inamaanisha nn
2026-08-12 07:49:29
1
master plan_official :
nimewahi ona alama imechorwa kichwa kisha umechorwa mstari mwekundu kutoka utosin hadi kwenye kidevu hii inamaana gan???
2026-08-12 13:05:18
1
yusuph :
kuna broken line ndefu na kuna zingine fupi je zina kazi tofauti?
2026-08-12 14:31:02
1
Mussa Boazi :
asante dada
2026-08-12 09:14:42
1
Shabani Saidi673 :
Dada yangu nakufatilia sanaaaa, ila leo umetudanganya,hapo kwenye speed limit, hiyo ya speed limit ya kumaliza, huruhusiwi kuanza kukimbia mpk ufike mita 500 ndyo uanze kuongeza speed, hiyo mistari iliyokatwa hiyo 50 ila mstari mmoja ni mita 100, ukikuta 3 juwa baada ya mita 300 ndyo uanze kukimbia siyo hapo hapo uanze kukimbia baadq kukipita.
2026-09-04 13:25:15
2
BabyflippaSkB :
I don’t even watch them sign😭
2026-08-12 05:16:56
2
kayageJr :
kwenye huo alama ya mwisho wa wa zuio la spid 50 kuna huo mistari midogo imekata hio alama
je huo mistari meusi iliyokata ina maana gani?
2026-08-14 10:41:38
0
kinsdone :
nipe maana ya hio mistari meusi uliokata kwny 50
2026-08-15 15:56:37
0
Yohana Nzowa :
m naomba mnionyeshe alama ya kuwa apa pana walevi m siijuwi alama yaoo
2026-08-12 11:06:46
2
Emiliana _01 :
Unanisaidia sana ubarikiwe
2026-08-12 08:37:46
1
To see more videos from user @eghomotors, please go to the Tikwm
homepage.