@onlyzak2007: No caption #fyppppppppppppppppppppppp #الشعب_الصيني_ماله_حل😂😂

زكرياء
زكرياء
Open In TikTok:
Region: TN
Tuesday 11 August 2026 19:11:26 GMT
573696
38105
493
24237

Music

Download

Comments

mxl.873
mxl.8 :
ثاني ثنوي بختصار..
2026-08-13 14:01:33
538
ml137356
Liyam :
ثالث متوسط
2026-08-14 23:00:09
110
jaballah.ahmed7
jaballah Ahmed :
الكاس فارغ املؤوه استغفار
2026-08-11 19:19:40
110
._bitch_.xaxaxaxa69
user69526016061 :
اني الوحيد متحمس لها؟؟
2026-08-11 19:17:44
196
hanof.ali5
الملكه . :
لا تذكرت اني صرت ثالث ثانوي ولسا ما خلصت القدرات
2026-08-14 23:20:00
38
ro7ve2
🌷͙֒ 𝐑𝐚𝐡𝐚𝐟 ⋆𐙚₊˚ 🌸 :
المدرسة كم شهر؟
2026-08-20 17:40:17
0
mmxxtt56
🇸🇦Wraith :
شعور أول ثانوي
2026-08-16 06:04:12
1
f_iiilk
⁷∅ :
اختبار نافس واختبارات وزارية ٣ متوسط.......
2026-08-12 16:57:51
11
yg_7s
𓂃ˑ𐙚ׅׄ🐈‍⬛🪽𝆹꫶ׁ𝅥ׅ𖥻𓂃 :
اول ثانوي😘💔
2026-08-19 20:47:58
2
To see more videos from user @onlyzak2007, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi  amekamilisha  kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua za mwisho za utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 5, 2026 katika eneo la Mkambarani, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Bi. Irene Gowelle, amesema zoezi hilo, ambalo lilipangwa kufanyika ndani ya siku sita, limekamilika kwa mafanikio na kwa wakati uliopangwa,  hatua ambayo imewezesha kurejea kwa huduma  ya umeme katika mikoa yote iliyokuwa imeathiriwa na kazi hiyo na kufanya shughuli kuendelea  kama kawaida. Bi. Gowelle amesema kukamilika kwa mradi huo kutaimarisha na kuongeza uwezo wa Gridi ya Taifa, hatua itakayowezesha usafirishaji wa umeme kwa uhakika zaidi katika maeneo mbalimbali nchini na hivyo kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla  Aidha amewashukuruwananchi na wateja wa TANESCO kwa uvumilivu, ushirikiano  waliouonesha katika kipindi chote cha utekelezaji wa kazi hizo.  Ameongeza kuwa TANESCO itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya umeme kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma hiyo nchini. “Kazi hii imefanyika kwa mafanikio makubwa na kwa wakati uliopangwa. Tunawashukuru sana wateja wetu kwa uvumilivu wao. Kwa sasa huduma ya umeme imerejea kama kawaida. Hata hivyo, napenda kuwakumbusha kuwa zoezi hili litaendelea kwa awamu ya pili katika maeneo ya Mkonze na Kikombo kuanzia Agosti 11 hadi 14. Tutawatangazia ratiba mapema ili muweze kupanga shughuli zenu kulingana na ratiba ya upatikanaji wa umeme,” alisema Bi. Gowelle. Kwa upande wake, Meneja wa Mradi wa Chalinze–Dodoma, Mhandisi Newton Mwakifwamba, amesema awamu ya kwanza ya uvutaji wa nyaya ilitekelezwa katika eneo la Mkambarani, ikihusisha uvutaji wa nyaya juu ya reli ya SGR. #UhondoTVUPDATES
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua za mwisho za utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 5, 2026 katika eneo la Mkambarani, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Bi. Irene Gowelle, amesema zoezi hilo, ambalo lilipangwa kufanyika ndani ya siku sita, limekamilika kwa mafanikio na kwa wakati uliopangwa, hatua ambayo imewezesha kurejea kwa huduma ya umeme katika mikoa yote iliyokuwa imeathiriwa na kazi hiyo na kufanya shughuli kuendelea kama kawaida. Bi. Gowelle amesema kukamilika kwa mradi huo kutaimarisha na kuongeza uwezo wa Gridi ya Taifa, hatua itakayowezesha usafirishaji wa umeme kwa uhakika zaidi katika maeneo mbalimbali nchini na hivyo kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla Aidha amewashukuruwananchi na wateja wa TANESCO kwa uvumilivu, ushirikiano waliouonesha katika kipindi chote cha utekelezaji wa kazi hizo. Ameongeza kuwa TANESCO itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya umeme kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma hiyo nchini. “Kazi hii imefanyika kwa mafanikio makubwa na kwa wakati uliopangwa. Tunawashukuru sana wateja wetu kwa uvumilivu wao. Kwa sasa huduma ya umeme imerejea kama kawaida. Hata hivyo, napenda kuwakumbusha kuwa zoezi hili litaendelea kwa awamu ya pili katika maeneo ya Mkonze na Kikombo kuanzia Agosti 11 hadi 14. Tutawatangazia ratiba mapema ili muweze kupanga shughuli zenu kulingana na ratiba ya upatikanaji wa umeme,” alisema Bi. Gowelle. Kwa upande wake, Meneja wa Mradi wa Chalinze–Dodoma, Mhandisi Newton Mwakifwamba, amesema awamu ya kwanza ya uvutaji wa nyaya ilitekelezwa katika eneo la Mkambarani, ikihusisha uvutaji wa nyaya juu ya reli ya SGR. #UhondoTVUPDATES

About