Me alinambia nimtolee kile ki alama cha Bluetooth kwenye screen kinamaliza charge akanipa 20k
2026-08-14 12:17:36
33
Miraji Kai :
sasa mbona mnawasanua huyu jiran yangu akija kushtuka ntalala njaa
2026-08-13 17:50:53
40
Mitra Luckas :
acha bc wap uko na mm nije 🤣🤣🤣
2026-08-12 08:25:50
9
ASMAA HONEY :
et nimepata mwanaume wa kisukuma hajui yogurt khaa vimezid😂
2026-08-13 22:45:37
6
❤️Nazmina🦋🦋 :
Nimemuzia infinix ile yenye macho matatu nikamwamby ni iphone yupo anashangilia😂😂😂
2026-08-14 10:52:20
9
Paul Madaha :
mm ni msukuma..ila Hawa wako sawa tu maan nikwel.....siku Moja nilienda mwanza usagara...nikakutna na kijna Fran hv akasema yey ana simu mdogo wakti huo mm nilikua na Infinix...akasema anpe sm mdogo nimpe smart hyo ila aniongezee na lak2 na nus kwhy sio ajapo iwapo sm hyo bei yake ni lakn na nusu na inamda mrefu...mm naon hyu jamaa yupo sawa tu
2026-08-13 12:13:26
11
Bint Canizio :
Na tukisafiri tukirudi na vifungashio lazma jirani apate Wasukuma sisi roho safi kbs
2026-08-15 04:56:18
13
happy :
hata mie wasukuma nawapenda bana
2026-08-12 08:54:58
8
$YMB$ :
kila kabila lina washamba na washamba sio kabila zima ni washamba Sema wasukuma ndo kabila lenye idadi kubwa ya Watu Tz so kila sehemu tupo unapo sema washamba sio wote wengine tupo hapa tu wajanja sana tuu kuna makabila hata wanao ishi Mjini pia ni washamba sana tuu
2026-08-13 19:02:50
12
seny boytz :
mimi msukuma ila pesa yangu huwaga haitoki kizembe
2026-08-14 05:27:14
10
Hemed bwaure @aj🫡 :
huku kwetu analipa kodi kwa dalali na mwenye nyumba, kwa mwezi
2026-08-15 15:09:13
6
mvukiye official :
hata mm jana nilimsetia simu ikiita ilie mziki wa diamond happy kanipa buku mbili nkaweka bando yani mpaka sahv nasavaivu nalo tiktok
2026-08-13 06:48:58
14
jasminejohn837 :
wasukuma wanamoyo sana
2026-08-13 11:14:49
8
Matteso Kahabi :
mhm ulisahau ungemukumbusha na kuhusu kuwasha ges akakuongezea elfu 10 nyingine
2026-08-13 15:07:57
8
nyapazzy og :
niaach nachanganyikiwa mjukuu wangu🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-13 12:06:43
9
Anna :
m kuna ambaye nilimsetia Auto_rotate nkaeka off alinambia akiinambisha cm kdg tyu vtu vinamwagka😅
2026-08-13 10:43:07
10
Esther Njiku :
😂😂 sitaki kucheka! juzi alinikuta akanambia nimpe kalam na karatasi aandike namba alafu baadae acopy! nikachukua samsung yake nikacopy nikasav kwenye clipboard ili iwe rahis kujaza kwenye cm hake maana alikua anatoa hela😅😅😅akanipq ef10, alaf anauliza "ng'wanike umejuaje haya yote"
2026-08-17 08:29:44
3
gospel girl :
mm msukuma anataka kunioa jamn nimkubali ama veep😁
2026-08-15 09:57:47
1
Luu 🦋💗 :
mim nilimuuzia cm Tecno bovu kwa laki tano nilimwambia kwa hiyo hela si bora uende kalikoo alisema kalikoo cm zimeisha nimezunguka sanaa nipe hiyo yako nikuachie hii hela tena kwa kunibembeleza nilichoka
2026-08-15 16:51:08
1
ferdee fonce :
😁😁😁😁😁😁😁 Mamaeee dash
2026-08-13 10:59:02
1
NizaLife_TZ :
wasukuma sisi jamani tumeisha
2026-08-14 18:03:58
1
Coletha Maziku :
🤣🤣🤣🤣Kwahyo sisi wasukuma ni fursa hahaaa!haha
2026-08-16 07:26:28
3
To see more videos from user @godbless.0664, please go to the Tikwm
homepage.