Mie hata sioni faida ya kufanya kazi za transit tena hasa hyo congo.sasa miezi m3 na zaidi mie wa local nishakuzunguka mara ngap hata km posho ndogo lkn hyo mizunguko na unga umga mwana c bora nipige tu local uganda mwanza fasta tu
2026-08-12 20:03:27
1
BAFANAog :
bora ww mm sasa 🤣🤣🤣🤣
2026-08-12 16:00:15
1
🦋Roy model💜♎ :
kama mm ndo dereva naenda Congo Sina haja ya kupanga chumba ntakaa kwa mama tyu😳
2026-08-12 12:24:27
2
Sheby love :
Mimi nitaendesha lori ila congo siji hata kwa dawa!
2026-08-12 20:09:18
0
mayalajuma572 :
Mmh
2026-08-12 08:30:55
1
FRESH BOY TZ. :
Nashukuru Mungu hapo fungurume mining nimeshusha tu kupakia kolwez ila hapo ni pamoto mzee