christine :
ibada sangapi? nampigia simu, au namwandikia meseji,, namwambia wewe fulani sitaki ujinga,, Mungu akuonyeshe, alafu mshitaki,, hiyo ujinga sipendi.nichofanya mimi narudisha,, ujumbe tu,, mfano uko, kazi hasa hizi za nyumba,, usiku unaota,umefutwa, kazi,, kuamka unaona, dalili,, alafu,, wewe unazidi kuomba, msamaha,,wa nini?,, hata ukiomba msamaha, huwezi kukaa!!! mimi,na najifuta,na unamwambia mimi naona kuna shida,, alafu mwambie kesho,, nitatoka,, inamaanisha,, yule bosi wako,,mekufikilia vingine.huo ujinga ndio sifanyi mimi .
2026-08-20 06:23:43