@bakarially30: Siri imefichuka#tanzaniantiktok🇹🇿 #congolaise🇨🇩 #burunditiktok🇧🇮 #rwandatiktok🇷🇼 #kenyantiktok🇰🇪

Bakarially30
Bakarially30
Open In TikTok:
Region: DE
Wednesday 12 August 2026 08:47:01 GMT
150140
5604
161
342

Music

Download

Comments

user6802702818308
shacao :
trump anaishi kwenye ndege sikuizi😁
2026-08-12 12:53:17
27
omarrasta09
Big 3 :
nikisema Iran ni super power kwa marekani
2026-08-12 12:49:15
22
tawhidthinay
Tawhid Thinay :
IRAN NI SUPER POWER
2026-08-12 11:17:55
12
butiku.erassi
Butiku Erassi :
mbona unapendelea Iran kila wakati
2026-08-12 09:01:55
15
mbwana.rajab
MBWANA RAJAB :
We love Iran forever
2026-08-12 09:14:12
15
said.kasanda
Said Kasanda :
hapendelei bali watu wanafatilia kwanini irani haogopi vita na usa na amepiga nchi jirani zaidi ya 20 na hataki mazungumzo kwaiyo wanafatilia nini kinampa jeuri irani
2026-08-12 09:35:38
17
raymaghen
raymaghen :
inasaidia nini wakati kila siku anapigwa
2026-08-12 13:48:08
2
dadyr13
coastal :
mbona hawatumii..hio n uongo
2026-08-12 11:43:49
3
bawscolonel
BawsColonel :
Iran iko na nuklia ata USA wanajua hiyo
2026-08-12 16:50:45
4
tonnikimsa999
AuttaSpace :
kunayo silaha kali kuliko nuclear bomb kaka.... yaitwa Hydrogen Bomb
2026-08-12 19:44:55
2
yohanankwabi3
yohanankwabi7 :
Upelelezi huo umefanywa na nani?
2026-08-12 14:42:56
2
peter862011
trope ngimwa :
Iran haina kitu
2026-08-12 17:56:43
0
paslain.akili.kubw
Paslain Akili kubwa :
Diogo Gasia hakupiga alijaribu tu
2026-08-12 13:07:10
0
mchuja.nafaka.cha
Mchuja Nafaka Champama :
Marekani kashashindwa ila anaona aibu tu apo
2026-08-12 14:55:54
3
hassan.nzeyimana
Hassan BZ :
Brother Sio Kiburi wana silaha kama Marekani... Na imelinda inchi yao vilivyo pasavyo kulindwa
2026-08-12 11:32:51
4
mshaharabado_gamer001
💲 MSHAHARABADO💲 :
Yanga bingwa🥰
2026-08-12 23:07:05
2
humble.lady21
[email protected] :
kwani wajua leo sai 🤣
2026-08-12 17:17:36
1
raymaghen
raymaghen :
Sasa mbona hawaitumii... wakati viongozi wao wamemalizwa!?
2026-08-13 06:57:57
0
user9143530076883
Taty🥰🥰 :
kama mimi nili wambia wakagoma
2026-08-12 10:33:17
3
user70295811402152
user70295811402152 :
unaongea kama brother K
2026-08-12 09:51:50
2
ylza750
Ylza :
rod 3
2026-08-12 11:17:52
3
userdambi
Dambi Galgalo :
nikuulize Iran wamefanya makosa Gani? wameenda kushambulia mtu yeyote? si wameshambulia mtu yeyote? kiburi Gani wameonyesha!
2026-08-12 12:40:28
1
humaiya409
Humaiya :
siwatume wabangoja nini
2026-08-13 03:43:30
1
user359769601074
Engineer Juma :
Istoria ya rais uyu wa marekani uyu trumpo alipoa ingia mwaka 2016 kwenye uchaguzi wake akiwa anashindana na mwana mama 1 trumpo Alishanda Kwa point 3 wakati uwo watafiti wa marekani Wali Sema uchaguzi wa wamarekani ulidukuliwa na nchi ya Urusi na kupanga Matokeo ya point 3 taarifa inatoka teali trumpo Kasha apishwa ndani ya utawala wake mwanzo wake ni vita na adi wamarekani Walifutiwa Bima ya afya walivulugana wamarekani 😂😅🤣adi wakaivamia Ikulu yao😂🤣😂 na Malekani iliyumba Sana nch nyingi ziliji toa ndan ya marekani 😂🤣Leo tupo mwaka 2026 rais wao wa marekani ni yule yule trumpo na utawala wake ni uleule vita akuna kuelewana na nchi nyingi duniani Zimeama kutoka marekani na ususa adi ndani ya Nato akuna maelewano na nchi nyingi zinajitoa kwenye umoja uwo😂🤣😅 😂😅 Alie shiliki kuiangusha Soviet ngoma imemgeukia 😂🤣😅😅🤣 wamarekani Wana amini uki taka uwe raisi lazima uwe mfanya biashara uwena pessa nyingi Kwa hii imewalamba😂🤣😅😂😂 Taangia mwanzo Imani yangu Inapeleka Kua trumpo sio Laia wa marekano atakuw raia wa Urus😂🤣😂😅 kajauivuluga marekani na Kuishusha kiuchumi marekano😂🤣😂😅 alie iyangusha soviet alikimbilia marekano 🤣😂😅😂hii imewalamba nchi ya Urusi ni atali Sana duniani Kwa ujasus😂😂😂😂😅😅
2026-08-13 04:25:49
1
user9143530076883
Taty🥰🥰 :
kama mimi nili wambia wakagoma
2026-08-12 10:33:17
1
To see more videos from user @bakarially30, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About