@bongo.trendingtz: Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema ili kufanikisha Mkakati wa Watoto kujua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) ni lazima kuwe na ushirikiano na ufuatiliaji wa Mzazi na Mwalimu. Mtaka amesema hayo wakati wa kufungua Kikao cha Viongozi wa Mkoa wa Njombe na Mradi ‘Kijiji Changu’ unaofadhiliwa na Uwezo Tanzania unaolenga kumalizia Changamoto ya Watoto kutokujua Kusoma, Kuhesabu na Kusoma. Ametaja mfano wa Mtoto ambaye alifanyiwa Sherehe na Wazazi wake kufika Darasa la Tatu hajui kusoma, kuandika na kuhesabu. #bongotrendingtz #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok #ugandatiktok🇺🇬 #reatorsearchinsights

bongo.trendingtz
bongo.trendingtz
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 12 August 2026 09:18:21 GMT
28911
575
14
116

Music

Download

Comments

fell7619
FELLY@7619 ❤🙏 :
🤣🤣🤣
2026-08-21 21:48:22
0
kwidox06_jr
kwidodolantiga :
upo sawa kiongozi
2026-08-21 13:38:50
1
happy.mgonela
happy mgonela :
tunaomba asaidiwe akamilishe ndoto zake za kuimba
2026-08-16 08:20:06
2
user11637824772296
Monica T.G :
kila mtu na kipaji chake
2026-08-21 07:30:15
1
zainabmasengo
zainab masengo :
wamwendeleze ana kipaji chake huyo mtoto
2026-08-21 16:54:09
0
swaumuabdul2
roux 76 :
Unafaa sana uwe Mchungaji Amina sanaa kwa utafiti wako
2026-08-21 08:11:31
1
dudu.baya5
Dudu Baya :
Mkuu unamafundisho mazuri sana ya maisha nakukubali sana mkuu
2026-08-21 10:05:36
2
monica.venace
Monica Venace :
lazma tukubali wazaz tunahalib watoto kwa hz cm asant baba ang kwa kutukumbsha
2026-08-19 19:09:59
1
user722870758123
Steven Samwel orwa :
duh
2026-08-12 17:56:43
0
jackson.apiyo
Jackson Apiyo :
tatzo unaish Kwa kukariri mkuu wote hawawez kuwa wasomi wengne wanaish Kwa vpawa
2026-08-21 09:32:41
0
user4927294579107
editha :
we ulitak kualibu shrehe zawatu, pale ni sehem ya serehe sio mambo ya shule
2026-08-16 21:53:32
0
lightness.diemi
Lightness Diemi :
😳😳😳
2026-08-21 20:47:00
0
To see more videos from user @bongo.trendingtz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About