@jambofmtz_: Baada ya sintofahamu na maswali mseto kuibuka kufuatia mkasa wa kijana kunasa katika duka akiarifiwa Kuhitaji kuiba, Jambo fm imeendelea na jitihada za Kutafuta ukweli halisi na kufanikiwa kumpata Mwenye duka ambaye Anasadikika kuwa ndiye mtegaji wa Mtego huo uliyemning'iniza kijana kwa Muda wa takribani masaa 4. Katika mazungumzo kwa njia ya simu na Mwanamaisha fresh Mwenye duka Ameeleza mkasa mzima na akikiri Kufahamu juu ya muktadha wa tukio, na hii ni ripoti ya kina. Taarifa yake @officialgdgideon Imeendaliwa na @afisa3_official na kusimuliwa na @official_chilato #jambofmtanzania #chaguamaishafresh

Jambo FM Radio Tanzania
Jambo FM Radio Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 12 August 2026 10:53:12 GMT
102537
2852
147
348

Music

Download

Comments

rahmerh97
Humayrah Humair :
namba ya mganga plzzzzzzzzzzz
2026-08-12 17:28:45
1
park_lee_ne
Park_lee_Ney5 :
he's my ex I know him😁
2026-08-12 13:45:12
3
purtupila
alvin cold :
tupe code😁 by then
2026-08-12 13:38:27
10
user8777698168130
c mlowe :
kaka type namba ya huyo mganga tunaumizwa huku wezio tusaidie naomba
2026-08-12 13:05:06
15
pilly310
Baby p🫦🫦😘 :
Naomba namba yako nimechoka. Kuibuwa jaman
2026-08-12 13:29:03
11
theblackjew7
BlackJewish :
Kwa hiyo Festo hakusikia
2026-08-12 13:35:06
5
jojo23485
jojo234 :
hakuna haja ya CCTV camera😂
2026-08-12 18:59:03
1
kuchumamary
Kuchuma Mary :
sasa c funguo anayo kwanini apite huku?
2026-08-12 15:04:00
5
wishjuniortz
Wishjuniortz :
festo hakusikia by then😂
2026-08-12 13:07:31
3
agrey.joseph0
Agrey Joseph :
Kwa sisi tuliosoma phisics ni kwamba mkono ulipo ingia umeloki kwa sababu sihemu ya kukanyaga kujiinua ili achomoe mkono hamna kwaiyo papi imembana kwa ndani na hilo bati lipo juu kidogo
2026-08-12 13:23:34
7
iam_gee0304
Gee98 :
Huyu sio mwizi ni mwenye duka jamani 😂😂
2026-08-12 12:56:22
9
yunicosmetics
yunicosmetics :
MKIPATA NO YA MGANGA NAOMBENI
2026-08-12 13:04:49
5
agnesayo4
agnesayo4 :
mmmmmm
2026-08-12 12:15:56
0
mamaakechris
Mama ake chris ♥️ :
jamaaaniii naomba namba ya mganga wako please
2026-08-12 12:57:49
3
arisbenzo8
benzo8 :
Mkuu hizo ni code😂
2026-08-12 15:46:31
3
hawa_carter
Hawabeautystores🎀🛍️ :
Nashindwa ku elewaa
2026-08-12 14:21:11
3
polly7511
️ :
Hapa kuna watu watatapeliwa
2026-08-12 13:48:03
1
mage.nnko2
Mage accessories :
mfanyakaz anafadhiliwa ila afadhiliki Sasa unamwibia had mtu anakununulia simu
2026-08-12 15:36:29
1
ellyncastro837
ellyn🥰 :
😂😂😂😂by then tupe namba ya mganga jmn😂😂😂
2026-08-12 15:06:19
1
maikomsigwa680
Maiko Msigwa :
mkuu wanaona mtuakiweka biashara niboya awajui uliazia wapi Sasa nipe kodi mkuu Mimi mwenyewe wananitesa sana nipe kodi
2026-08-12 16:13:08
2
secret_tanzania
Secret Tanzania 🇹🇿 :
Naomba hiyo code mkuu 😂😂😂😂# usiguse
2026-08-12 11:44:04
4
saleh.leons
Saleh Leon's :
hii nimeipenda,tunaibiwa sana kwenye maduka yetu naombeni no ya Mganga
2026-08-12 12:29:20
4
pastorysent
Pastory :
Yan radio kubwa inazua taharuk za kipuuzi/ngoja watu watapeliwe kwa mambo ya kijanga
2026-08-12 13:56:54
2
To see more videos from user @jambofmtz_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About