YOHANA 8:32
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru
3HOHANA 1:4
Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.
2026-08-13 10:24:08
7
Peter Msanga :
Amen bariwa sana mtu wa mungu
2026-08-13 08:24:55
5
mr kirsimass @ :
sas mbona mnasali jumamos af juma pili mnafanya kaz kwo kat ya jumamos na jumapili ipi sku ya sabato
2026-08-25 07:08:07
0
theophilyelias :
sabato ni pumziko tu
2026-08-14 15:12:09
8
Jorum Fuchingo :
Wonderful 👏
2026-08-13 18:26:52
2
Shanny❤️💦 :
mataifa wataijua kwel
2026-08-14 12:57:25
3
James Wood :
ukweli Wa ukweli
2026-08-13 04:26:32
3
@faraja2 :
nitumie jina la wimbo plz
2026-08-14 19:29:59
3
Calipso bae :
Sabato sio siku tu' ni amri kutoka kwa Mungu katika amri kumi za Mungu katika kitabu cha Exodus 20 : 1 - 17....someni pia James 2 :10 - 11...ukivunja moja umevunja yote maana hio sheria yote ni yake Mwenyezi Mungu.
2026-08-17 12:33:10
3
Ruth Fred :
napenda dini yangu hyo
2026-08-13 18:39:26
4
Penina Kiinji :
ni kweli
2026-08-14 03:36:09
2
katembo tembeya ASI :
waauuu..... merci beaucoup
2026-09-15 13:52:31
1
Enock nilla nyabila :
amina mtumishi
2026-08-13 15:51:15
2
jdm elisha :
barikiwa mtumishi wa mung
2026-08-15 15:59:24
1
Kevine Iradukunda :
Amen
2026-08-14 11:41:58
1
Sala Pius :
hakika😍
2026-09-09 20:00:57
1
odinga :
ubarikiwe sana creator nafasi yako ipo mbinguni.
2026-08-18 06:06:42
2
Mwalu Augustino :
amem
2026-08-15 02:24:37
2
kwataho bambe :
happy sabbath
2026-08-14 16:43:00
1
Plaxeda Joseph :
Kwani kwa udhibitisho wote huo bado kuna mtu bado anafanya ibada tofauti na siku ya sabato
2026-08-16 13:41:06
1
Sarah Simon :
nisiku.iliyo barikiwa.nakutakaswa
2026-08-20 20:31:15
1
mariam roid :
amen
2026-08-12 19:34:34
1
joan :
Ameeeen
2026-08-13 06:27:19
1
Bulmans :
we paray every time, every where but from our daily endeavours we rest on the sabbath. We worship, we rest, we celebrate our well being through the Lord God.
2026-08-16 02:42:37
1
user3888183063825 :
nisiku takatifu ya bwan
2026-08-13 06:01:57
1
To see more videos from user @mahela.nyankali, please go to the Tikwm
homepage.