Namshukuru Allah kunijali mm na wezee wangu kuwa waislam na Allah nakuomba uwaongowe hawa ndugu zetu wawe waislam Amin
2026-08-18 09:09:07
5
nani :
sas ndonin
2026-08-13 12:19:29
1
BAKTBU :
INNA lillahi wainna ilayhi RAAJIUN
Allah awaongoze waifaham hakki mana watu wazima Wana dhalilika hivi na Allah anavo muomba kwa Siri ndio anakuskia zaid
2026-08-18 14:31:38
1
muse :
Kuna Aina nyingi ya wehu huu nao ni wehu
2026-08-18 03:25:29
5
user4167721746195 :
Yote haya tunafanya lakini tukiuguwa tunaelekea China au India kwa watu ambao hata Mungu hawamjuwi. Waafrika jamani sijuwi tumekosea wapi?
2026-08-14 04:56:18
5
colins_martin7 :
Alfu ukiwauliza wana kwambia Roho Mtakatifu kawaingia
2026-08-15 05:39:29
2
KIKOSI CHA NOVEMBER :
hizo sasa ndo 😳😳majini wachafu pepo wachafu hao wameingia kwa kanisa
2026-08-12 19:53:51
9
brodiebanks_ :
I do not support this way. why are they shouting so much?
2026-08-13 05:18:42
0
Mfalme Gwamanya :
huo ni upuuz
2026-08-12 19:17:51
4
Pep G Mnene :
vitaumbwa vipya na nchi zitageuka
2026-08-13 19:21:25
1
Jefu🇰🇪 :
hatari sana
2026-08-12 19:25:12
1
rmatola :
2026-08-13 13:07:29
0
Nasra :
Usicheze na Imani jamani watu wanaimani
2026-08-18 04:58:57
0
STEVEN NP :
Ujinga mtupu
2026-08-12 17:10:19
5
SRC :
mbona mambo haya nje ya AFRICA hakuna?????
2026-08-16 11:53:26
2
Suleiman Ali :
astaghfirullah
2026-08-13 16:31:55
3
hamadi :
nashindwa kuelewa jamani
2026-08-13 20:25:41
1
mzalendo :
inagekua hii ndo njia ya kufaulu kimaisha waafrca tungefika mbali
2026-08-15 05:00:21
3
coman-msafi :
2026-08-13 09:04:55
2
Cafè92 :
kuna maana sana kwann Mungu alitupa akili mikono na miguu.
2026-08-18 13:04:27
1
Jeey lone :
Mm nilizani wanacheza SINGELI... 😁😁😁😁
2026-08-13 12:55:46
1
HAMAS OF ZANZIBAR :
Alhamdulillah Alaa kullu hali
2026-08-19 06:52:45
0
allynasri :
mungu waokoe watu wako wanazd kupotea
2026-08-19 09:11:52
0
gudboy :
mmmh
2026-08-13 08:39:38
0
To see more videos from user @michaeldavidmayal, please go to the Tikwm
homepage.