@emmydaproh16: Nambie na wew umekumbuka nini leo kwenye utoto wako😂🙌##vairalvideo #tiktokinternational #tanzaniantiktok🇹🇿

aim🎀minna
aim🎀minna
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 12 August 2026 18:46:10 GMT
69702
4161
998
2084

Music

Download

Comments

jojoneezstore6
Jojo neez store👚🔥 :
Choo cha mwisho ijumaa kinanukia pilau😂😂
2026-08-13 08:16:11
469
gillykim31
gillykim31 :
Mbona Kama umesahau popo bawa😂😂😂
2026-08-13 01:42:04
90
aishamkawa3
Aisha🌸 :
ukiingia chooni choo cha mwisho unamkuta kibibi kinasonga ugali ila shule ya msingi 2010 iyo😁
2026-08-13 09:47:32
186
miss.juju22
Julieth❤️ :
Usiku saa nane kuna mtu mwenye kwato anatembea corridor alikuwa anaenda kwa jina la “ms corridor😂😂😂😂”
2026-08-13 10:49:15
49
a6dully
Dully :
Imagine mabomu ya Gongo la Mboto nilikuwa ninamiaka 10 ila nilikimbia kutoka Banana mpaka Tazara 🥹😂🙌
2026-08-13 11:21:11
43
user3044103680668
Rahma Said :
Kuna rasta tatu watu wa tanga wanamuelewa
2026-08-13 05:45:48
14
itzdyah4
❤🥀Itz Dyah🦋 :
Ukipiga odi kwenye vyoo vya shule unakaribishwa karibu mjukuu wang😂😂😂
2026-08-13 11:27:17
36
amayracollection6
Amayra Collection❤️ :
mmesahau na zile chanjo na vidonge shuleni jaman😂😂😂
2026-08-13 20:24:06
14
feiyhma
am_feiyhma :
Maiko dad nilikw natoa history yake utsem nilikuw namjua eti ooh ana sura tatu mala alibakwa kaja kulip kisasi jamn😂😂😂mwanangu asilis huu uongo😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
2026-08-13 08:43:12
33
officialdy4
dy :
Tuliambiwa pia dunia inaisha 2012.. tumeteseka sanaaa 🥹
2026-08-13 04:02:15
31
rehemadaimon2
moonree :
mmhh ety ukipita shule usiku unaona makaburii😂😂🙌🙌
2026-08-13 12:21:16
8
graciousnillan
Miss nee❤️🔐 :
Ndo maan tumevurugwa mda wote tupo attention😂😂😂
2026-08-13 08:45:19
6
troywife
🦋Zuuh outfit style🦋 :
Nakumbuka mabom ya mbagala yalitokea saa4 hasubuh ss tulikua tunakaa kalibia na kambi ya jesh siku usiku wa kuamkia siku hiyo hatukull usiku mzima nilizidiwa na Oma wakanipeleka ospital ya zakhem palivyo kucha tulikua tumetandika mkeka balazan ndugu zangu wana kunywa chai mm nimepewa uji na pembelezwa kula na sikua na nguvu ya kusimama lakin cha kushangaza mambo yalivyo taladad nilikimbia ad mkuranga kwa mguu😄😄😄
2026-08-13 23:33:38
6
iam.iqraah
mimy🌸 :
me mabomu ya mbagala yalivyo isha shangazi zangu wakaja nichukua niende kukaa nao gongo la mboto,hee baada ya mwaka nakwenyewe kukalipuka arafu usiku na nlkimbia mwenyew asee sitaka nisahau yan mabomu ya mbagala yamenkuta na gongo lamboto yamenkuta😂😂😂
2026-08-13 07:02:42
11
huriathyusuph
Huriath Yusuph :
Mnakumbuka shule ya msingi tulikuwa tunaambiwa tusiingiee choo cha mwsho kina majini😂😂😂😂😂😂ila zamani
2026-08-13 10:06:55
15
bbyboss97
Little queen💖🍫 :
Apanaaa jamaniii Maiko dada ilitesaa sanaa
2026-08-13 11:56:58
14
deejahl2
KIZIM BLOOMS💥 :
ndo mana hatuko sawa jamani😂 uwiii
2026-08-13 07:42:40
10
jojoneezstore6
Jojo neez store👚🔥 :
Kweny mabom jmn nlkuwa najiona km stelingi vile nlvyokuw nkimbia yn nlpenda kuzurula usku 😂😂 sikuile
2026-08-13 08:12:02
5
monicachenga288
Moniyker_chenga🇹🇿🇴🇲 :
wewe umemsahau POPO BAWA tulilala nje karbia mwez mzm makundi makundi😂😂😂😂
2026-08-13 10:01:21
14
dommie_patty
Dommie 🇹🇿🥷🏽 :
Lakini Maiko Dada ni kweli 🤣😭😭😭 nilimuona
2026-08-13 16:21:24
5
happyrecious
Happyrecious :
umemsahau miss koridor😳
2026-08-13 06:23:21
15
inna2dominick
𝕴𝖓𝖓𝖆*✽✽ :
umesahau ile ukiokota ela unakuwa ng'ombe
2026-08-13 06:10:11
8
To see more videos from user @emmydaproh16, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About