ngoja nisimulie kidogo niliwahi kwenda geita kumsalimia Dada angu Sasa bhana akaja kunipokea akasema twende tukapande daladala mie tena Sawa nashangaa anaenda sehemu zimepaki baiskeli eti sehemu flani bei gani wale jamaa wakataja bei nyie nilichoka yani njia nzima nilikuwa nacheka nusu kuanguka mpaka nafika mbavu Sina tena unakaa ulie mkao wa kiume unashikilia kiti wanakimbiza balaaa 😂😂😂😂
2026-08-13 16:52:10
237
happyness :
Inachekesha kama sio mkoa wako
2026-08-14 00:08:28
191
Martha cute🥰 :
Kwan tabora hamna pikpik 🥺
2026-08-14 05:57:29
46
dommytozzy🏀🏁 :
duu menikumbusha mbal xn blood 🤣🤣
2026-08-13 10:19:30
17
Lily :
iyo ndo tbor yetu nimepamis san😃
2026-08-13 11:07:30
72
secilia elieza💓 :
tabora oyeeeeeeeeeee
2026-08-13 17:21:01
18
ommy mtalibani :
Natafuta mdada mwenye mimba twende clinic ili nipate net, mbu wataniua jamani 🥺
2026-08-15 10:13:28
50
mnyawez classc homeboy🦚🎄🙏💖 :
home kama home
2026-08-18 16:13:36
2
@Revoobit International :
Ila jaman nimepamis sana Tabora,,,wanangu wa Tabora gather here..
wallah before the end of this Year,,
I have to go Unyamwezini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2026-08-13 22:05:33
9
maishayoel :
hata dar huku africana mbona zipo😂
2026-08-18 06:22:51
5
it's.salmahanaah :
kuna kipindi nauli ilipanda hadi 700, wana Tabora tukaanza lala mika😂😂😂
2026-08-15 05:33:44
14
Shark☘️ :
hahaha mpk mwinyii kanisa la miti 500 tu😁😁
2026-08-13 09:27:00
5
Fed Casto :
Tabora lita ya mafuta ni Halfu 7
2026-08-17 15:36:38
5
Kazola :
hahaaa haya watabora tujuane jamani na mimi nipo
2026-08-14 13:42:08
5
~Mamu :
Tabora na shinyanga shikamooo🤣😂🤣
2026-08-13 15:35:46
5
🦋miss ly🦋@Tabora 💞 :
usafiri miatano tu unafika unako enda Tabora 🥰
2026-08-13 18:14:26
5
Rey wa jey :
msitucheke jaman karibun San tabora pande za ng'ambu apa
2026-08-15 07:43:28
7
Naah🎀 :
ila taboraa😂😂😂 ndio mkoa pekee uliobaki na daladala baskel😂😂😂 my heart inauma uku unachke
2026-08-14 19:43:48
5
efa g :
😂😂ni kweli kabisa ila baskeli ilishanishinda🙌kuna day nilipanda nkadondoka katikati ya lami hapo maeneo ya polisi jirani na uhazili
2026-08-16 08:23:45
8
tatu jumbe :
unaweza panda ya kwenda Kidatu mtoto akapanda ya kwenda kanyenye Hy ndio tabora😁😁😁
2026-08-13 10:22:32
43
wemaomary4 :
mbona tabora sionagi😂
2026-08-13 19:16:59
7
Eng.KelvinM :
kuna mtu nilikua napiga nae stori aliniambia wapo wengine wanapewa baiskeli za mkataba kwa siku afu nane 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
2026-08-14 07:44:44
7
phinajustine34 :
Kuna siku nilipanda Akhii nilichoka kuliko muendeshaj😅
2026-08-15 06:13:42
16
Emryn Cosmetics :
😂😂 umenikumbusha mbalii Natoka uzunguni mpka mwinyi secondary kwa daladala baskeli..Nyie 😂😂😂😂 by the way Huu ndio usafiri wetu pendwaa... Umefanya nimiss kurud nyumban 🥰♥️
2026-08-13 14:23:35
6
Me@sy :
yan baskel za tabora ukipanda zinamwendo gar inapitwa wima nilipanda sku moja nilichoka yan yule derev nilimshkilia ad akaisoma
2026-08-13 12:27:02
16
To see more videos from user @drey__og, please go to the Tikwm
homepage.