@drey__og: Hapa ndipo unajua umefika Tabora 😂🙌 #tabora #tanzaniantiktok🇹🇿 #uswahilini #trending #tabora

DREY
DREY
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 13 August 2026 09:11:15 GMT
455948
24352
1410
1830

Music

Download

Comments

tinahad38
Tayna🦋🌹 :
ngoja nisimulie kidogo niliwahi kwenda geita kumsalimia Dada angu Sasa bhana akaja kunipokea akasema twende tukapande daladala mie tena Sawa nashangaa anaenda sehemu zimepaki baiskeli eti sehemu flani bei gani wale jamaa wakataja bei nyie nilichoka yani njia nzima nilikuwa nacheka nusu kuanguka mpaka nafika mbavu Sina tena unakaa ulie mkao wa kiume unashikilia kiti wanakimbiza balaaa 😂😂😂😂
2026-08-13 16:52:10
237
happynesspeter3
happyness :
Inachekesha kama sio mkoa wako
2026-08-14 00:08:28
191
maassa36
Martha cute🥰 :
Kwan tabora hamna pikpik 🥺
2026-08-14 05:57:29
46
dommytozzx
dommytozzy🏀🏁 :
duu menikumbusha mbal xn blood 🤣🤣
2026-08-13 10:19:30
17
user2686194267224
Lily :
iyo ndo tbor yetu nimepamis san😃
2026-08-13 11:07:30
72
secilia.elieza8
secilia elieza💓 :
tabora oyeeeeeeeeeee
2026-08-13 17:21:01
18
omaryhamisi133
ommy mtalibani :
Natafuta mdada mwenye mimba twende clinic ili nipate net, mbu wataniua jamani 🥺
2026-08-15 10:13:28
50
user51021876910735
mnyawez classc homeboy🦚🎄🙏💖 :
home kama home
2026-08-18 16:13:36
2
officiallily266
@Revoobit International :
Ila jaman nimepamis sana Tabora,,,wanangu wa Tabora gather here.. wallah before the end of this Year,, I have to go Unyamwezini 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2026-08-13 22:05:33
9
maishayoel
maishayoel :
hata dar huku africana mbona zipo😂
2026-08-18 06:22:51
5
its.vitalityclinic
it's.salmahanaah :
kuna kipindi nauli ilipanda hadi 700, wana Tabora tukaanza lala mika😂😂😂
2026-08-15 05:33:44
14
xauusd086
Shark☘️ :
hahaha mpk mwinyii kanisa la miti 500 tu😁😁
2026-08-13 09:27:00
5
fedcasto
Fed Casto :
Tabora lita ya mafuta ni Halfu 7
2026-08-17 15:36:38
5
masoudhusseinmbeh
Kazola :
hahaaa haya watabora tujuane jamani na mimi nipo
2026-08-14 13:42:08
5
mamuu.baby1
~Mamu :
Tabora na shinyanga shikamooo🤣😂🤣
2026-08-13 15:35:46
5
misslydiaurambo1
🦋miss ly🦋@Tabora 💞 :
usafiri miatano tu unafika unako enda Tabora 🥰
2026-08-13 18:14:26
5
reywajey
Rey wa jey :
msitucheke jaman karibun San tabora pande za ng'ambu apa
2026-08-15 07:43:28
7
unniquenaah
Naah🎀 :
ila taboraa😂😂😂 ndio mkoa pekee uliobaki na daladala baskel😂😂😂 my heart inauma uku unachke
2026-08-14 19:43:48
5
efagracian
efa g :
😂😂ni kweli kabisa ila baskeli ilishanishinda🙌kuna day nilipanda nkadondoka katikati ya lami hapo maeneo ya polisi jirani na uhazili
2026-08-16 08:23:45
8
user76196951702381
tatu jumbe :
unaweza panda ya kwenda Kidatu mtoto akapanda ya kwenda kanyenye Hy ndio tabora😁😁😁
2026-08-13 10:22:32
43
wemaomary4
wemaomary4 :
mbona tabora sionagi😂
2026-08-13 19:16:59
7
kevoo_m10
Eng.KelvinM :
kuna mtu nilikua napiga nae stori aliniambia wapo wengine wanapewa baiskeli za mkataba kwa siku afu nane 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
2026-08-14 07:44:44
7
phinajustine
phinajustine34 :
Kuna siku nilipanda Akhii nilichoka kuliko muendeshaj😅
2026-08-15 06:13:42
16
emryn_cosmetics_tanga
Emryn Cosmetics :
😂😂 umenikumbusha mbalii Natoka uzunguni mpka mwinyi secondary kwa daladala baskeli..Nyie 😂😂😂😂 by the way Huu ndio usafiri wetu pendwaa... Umefanya nimiss kurud nyumban 🥰♥️
2026-08-13 14:23:35
6
user5407002400630
Me@sy :
yan baskel za tabora ukipanda zinamwendo gar inapitwa wima nilipanda sku moja nilichoka yan yule derev nilimshkilia ad akaisoma
2026-08-13 12:27:02
16
To see more videos from user @drey__og, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About