@mkuraysh: Mawaidh#shekhe_walid_al_had🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Walid#creatorsearchinsights #viralvideofortiktokaccount

mkurayshsaudiya
mkurayshsaudiya
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 13 August 2026 11:17:11 GMT
63203
3521
93
521

Music

Download

Comments

user76125590262312
Mr mkilanya🧠🧠 :
tunaomba aya na hadith
2026-08-13 18:29:16
8
jamaliibrahim5
jamaliibrahim5 :
USTADH KATI YA MAKKAH NA MADINA KUNA UMBALI GANI AU KILOMETRES GAPI
2026-08-13 13:38:21
7
qanuni8
QANUNI :
WALIO WENGI HUSAFIRISHA KWASABABU HUKU TOWN INAFIKA KIPINDI WATU WANAFUKUA MAKABUR WANAFANYA MAKAZI MAKABURI YANAPOTE SASA TUTAZURU VP MAKABURI YA NDUGU ZETU ? LAKINI PIA UNAKUTA SEHEM NYINGINE WATU WANACHIMBA KABURI WANAKUTANA NA MAFUVU YA WATU WALOZIKWA ZAMANI. ME NAAMIN KATIK KUTAKA KUWASITIR KWEL NDUGU ZETU NI BORA KUZIKA KIJIJINI . SWALI LANGU JE KWAKUHOFIA MAMBO HAYO INAFAAA KUSAFIRISHA?
2026-08-13 16:12:04
5
binhamdoun2
BIN HAMDOUN :
ushahidi shekhe
2026-08-13 16:32:20
1
ism0210mtepa
MTEPA0210 :
sio haramu shekh hakuna hadithi wala aya inayosema kua maiti ikisafirishwa kutoka sehemu moja kwnda nyengne au mkoa mmoja kwenda sehemu nyengine, ispokua tu. mtume s.a.w alisema "harakisheni mazishi" kwahyo hakuna uharamu..
2026-08-14 08:04:27
7
happysiwakamil7
Pinky :
Akifia India na kwake ni Tanzania inakuwaje. Mwenye ulewa anisaidie jamani
2026-08-14 09:42:20
0
user7463278123571
user7463278123571 :
Mambo ya kizamani hayo usafiri ukiwa mgumu
2026-08-14 05:22:44
0
kaskaz_furniture
Sele & kaskaz furniture :
kwan maka na madina ni km ngapi?
2026-08-14 21:41:01
0
pablo005256
PABLO,,05 :
kwann lushoto😅
2026-08-15 10:52:13
1
user24310197081593
user24310197081593 :
shekh tunakosea sana mana watuwengi tunasafirisha mait sana
2026-08-13 15:04:48
7
92kj_ink
Ink :
mbn nabii YACOB (A.S) alifia misri lakin alisafirishwa kwenda palestin?
2026-08-17 06:29:26
0
kadweka.adam
KadwekaJr :
ukaribu wa kirometa ngapi?
2026-08-14 11:44:08
1
user7734999518246
user7734999518246 :
mtaelewa tu endeleeni kusoma
2026-08-15 07:14:07
1
mischillax2
𝒩𝒶𝓈𝓇𝒶𝒽 𝓘𝓽’𝓼 🤍 :
😂😂Why lushoto
2026-08-13 22:36:14
2
haile_.maryam
haile_.maryam :
Ana pa kuzikwa hapo dar
2026-08-13 17:32:46
2
thabitally437
thabitally437 :
Asante shekhe
2026-08-13 20:13:23
1
kingmac32
King Mac :
Hiyo ni tamaduni ya nyakati zile wakati mwili kuhifadhi ilikua hamna na usafiri ukawa mwendo pole pole, na joto lile inabidi mtu azikwe haraka.
2026-08-14 14:21:56
1
nyangetamichael
Ashura Simeo Michael :
umenifumbua macho
2026-08-13 15:33:48
1
drdre.7777
Dr.Dre :
kuna jinsi ilivyo na inavyotakiwa kuwa, wakati huo magari kulikua hakuna wange safirishaje?
2026-08-14 17:34:57
0
karemela328
0-factor :
vp hawa ndg wa nabii Mussa waliohamisha mifupa ya babu zao mbele ya nabii Mussa nini muongozo kuhusu hili tukio
2026-08-15 15:06:01
0
user0698398228singo
user3660581998131salmin singo :
mbona umetaja lushoto
2026-08-15 15:22:26
0
user5046110690196
Dotto bike :
fact
2026-08-15 17:56:23
0
hajiabdullah5406
Haji Abdullah :
jazzakumullah
2026-08-16 07:37:15
0
user57137683253277
user57137683253277 :
kwanza garama
2026-08-15 16:10:50
0
karimudzekotz
Karimu Dzeko Tz :
wosia ikiwa???
2026-08-13 18:08:19
1
To see more videos from user @mkuraysh, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About